Ni kipi chanzo na tiba ya misuli ya jicho kutikisika?

Ni kipi chanzo na tiba ya misuli ya jicho kutikisika?

Hapa kuna mambo ya utamaduni, sio bure.
Utamaduni ni asili yetu waafrika.
Na kiganja cha mkono wa kulia kikiwasha ujue utatoa pesa, kikiwasha cha mkono wa kushoto utapokea pesa! [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Utamaduni ni asili yetu waafrika.....
Na kiganja cha mkono wa kulia kikiwasha ujue utatoa pesa, kikiwasha cha mkono wa kushoto utapokea pesa! [emoji4] [emoji4] [emoji4]

Hapo ndio umenitoa shaka kwamba unaongelea nguvu za giza.
 
Hamchelewi kusema kuna mtu anatakaka kukupa pesa
 
Likicheza kwa juu ni ishara kuwa utaona/ kupokea habari njema. Likicheza kwa chini ni ishara ya kupata habari mbaya!

Vp kuhusu kucheza kwa jicho pembeni (pembezoni) si juu wala chini. Maana mimi ndio hunitokea hivyo
 
Mimi namuamini huyo alojibu w mwanzo kabisa kwamba unene unanza kuja. Yaani kunenepa.kwani hta mimi mar nyingi hunitokezea.jicho kucheza mpaka inakuwa kero. na uzito wangu kweli umezidi kipindi hiki..naamini itakuwa sababu ni hiyo over weight.kwani niliwahi kwenda kwa doctor kucheki macho nikaambia nipo okay.so kwa hivyo mtoa mada hebu angalia uzito wako.na mimi kuanzia leo nita deal na uzito wangu..
 
Vp kuhusu kucheza kwa jicho pembeni (pembezoni) si juu wala chini. Maana mimi ndio hunitokea hivyo
Hiyo pembeni kwa uelekeo upi, wa juu au wa chini? Kama huna imani hiyo, huko kucheza huwa hakuna maana yoyote
 
Usahihi: nyama ya juu ya jicho la kulia.
Langu lilikuwa linacheza sana baada ya muda taarifa mbaya za vifo vya watu wa karibu zikawa zinafuatia mara ya mwisho ni wiki mbili zilizopita baada ya kumzika dada. Ila la kushoto likicheza mambo mazuri huwa yanatokea
 
Back
Top Bottom