Ni kipi huwavutia wasichana zaidi?

Ni kipi huwavutia wasichana zaidi?

menya inganyi

Senior Member
Joined
Aug 10, 2016
Posts
169
Reaction score
109
Hawa viumbe hawana formula hivi wasichana hupagawa na nini haswa kwa mwanaume.
Mgegedo mkubwa?
Handsome?
Six pack?
Pesa?
Akili?
Unene?
Kitambi?
Urefu?
Utundu?
Ubahili?
Starehe?
Usuper star?

Au maana hawa viumbe hawaelewi kiukweli wapo kundi gani ebu tupeane uzoefu wa hawa viumbe maana wanaume wengi wanasema ata kama una hela alafu unasimamia show vizuri ndiyo wananasa zaidi ni kweli wanachanganyikiwa na pulling ya kusuguliwa?
 
hawa viumbe hawana formula hivi madem hupagawa na nini haswa kwa mwanaume
mgegedo mkubwa?
handsome?
six pack?
pesa?
akili?
unene?
kitambi?
urefu?
utundu?
ubahili?
starehe?
usuper star? au maana hawa viumbe hawaelewi kiukweli wapo kundi gani ebu tupeane uzoefu wa hawa viumbe maana wanaume wengi wanasema ata kama una ela alafu unasimamia show vizuri ndiyo wananasa zaidi.... ni kweli wanachanganyikiwa na pulling ya kusuguliwa?
Ngoja tu nikwambie ni asilimia kidgo tu ya wanawake wanapenda hizo mambo za puli sijui/sex
Wengi wao wanapenda true love,yaani umpende,umjali,umthamini,umpe nafasi ya kusikilizwa,ukikosea umuombe msamaha na mengine mengi ambayo yanampendeza
NB😛esa inaongeza raha ya mapenzi kwahy usijidanganye ukampetipeti bila hata kumpeleka dinner/usimpe hata hela ya shopping ukategemea akupende na njaa zako sahau
 
Ngoja tu nikwambie ni asilimia kidgo tu ya wanawake wanapenda hizo mambo za puli sijui/sex
Wengi wao wanapenda true love,yaani umpende,umjali,umthamini,umpe nafasi ya kusikilizwa,ukikosea umuombe msamaha na mengine mengi ambayo yanampendeza
NB😛esa inaongeza raha ya mapenzi kwahy usijidanganye ukampetipeti bila hata kumpeleka dinner/usimpe hata hela ya shopping ukategemea akupende na njaa zako sahau
kaka we mfanyie ivyo vyoote unavyosema but ushindwe kumfikisha kileleni then apate wa kumsugua vizuri, hakika nakwambia utashinda humu JF ukiomba ushauri miaka 8
 
hawa viumbe hawana formula hivi madem hupagawa na nini haswa kwa mwanaume
mgegedo mkubwa?
handsome?
six pack?
pesa?
akili?
unene?
kitambi?
urefu?
utundu?
ubahili?
starehe?
usuper star? au maana hawa viumbe hawaelewi kiukweli wapo kundi gani ebu tupeane uzoefu wa hawa viumbe maana wanaume wengi wanasema ata kama una ela alafu unasimamia show vizuri ndiyo wananasa zaidi.... ni kweli wanachanganyikiwa na pulling ya kusuguliwa?

UUME WA MWENDOKASI.
 
Pesa ni mvuto namba moja, sex no mbili vingine urefu na umbo la kimazoezi kidogo.
 
Back
Top Bottom