spinderella
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,393
- 1,905
Personality,romantic, confidence, hard working, vision and respect! How can you resist?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye kupenda kilaHawa viumbe hawana formula hivi wasichana hupagawa na nini haswa kwa mwanaume.
Mgegedo mkubwa?
Handsome?
Six pack?
Pesa?
Akili?
Unene?
Kitambi?
Urefu?
Utundu?
Ubahili?
Starehe?
Usuper star?
Au maana hawa viumbe hawaelewi kiukweli wapo kundi gani ebu tupeane uzoefu wa hawa viumbe maana wanaume wengi wanasema ata kama una hela alafu unasimamia show vizuri ndiyo wananasa zaidi ni kweli wanachanganyikiwa na pulling ya kusuguliwa?
Ulijifunzia wapi huo ujambazi?Mtcheeew
Ulipokuwa unaibia weweUlijifunzia wapi huo ujambazi?
Umesema kweli ila mwisho hujawa muafrika halisi,kuwapa nafasi ya kuishi kitamthilia ni makosa na kuwaendekeza tu,mbona wazazi wetu hawakwenda beach,hawakwenda kukaanga chips ilihali wana chakula nyumbani,waweza jisikia kumtoa out mkeo lakini isiwe mojawapo ya kumfanya eti bila hvyo ndoa itakua ngumu.kwangu mimi hapana!Ngoja tu nikwambie ni asilimia kidgo tu ya wanawake wanapenda hizo mambo za puli sijui/sex
Wengi wao wanapenda true love,yaani umpende,umjali,umthamini,umpe nafasi ya kusikilizwa,ukikosea umuombe msamaha na mengine mengi ambayo yanampendeza
NB😛esa inaongeza raha ya mapenzi kwahy usijidanganye ukampetipeti bila hata kumpeleka dinner/usimpe hata hela ya shopping ukategemea akupende na njaa zako sahau
Uwiiiiii umemaliza yote.Ngoja tu nikwambie ni asilimia kidgo tu ya wanawake wanapenda hizo mambo za puli sijui/sex
Wengi wao wanapenda true love,yaani umpende,umjali,umthamini,umpe nafasi ya kusikilizwa,ukikosea umuombe msamaha na mengine mengi ambayo yanampendeza
NB😛esa inaongeza raha ya mapenzi kwahy usijidanganye ukampetipeti bila hata kumpeleka dinner/usimpe hata hela ya shopping ukategemea akupende na njaa zako sahau
duh sasa mtakula nnAll of the above, and remember.... woman's need everything.
Hawa viumbe hawapo specific.
Unaweza kupata mmoja ambae yeye atakuambia anataka akuone tu karibu yake, na hata kazini usiende[emoji23] [emoji23]
Hapo ikifika muda wa mahitaji, hawa viumbe wanaombaga hela tu, hataki kujua umepata au hauna au hauna kazi.duh sasa mtakula nn
We ndo umemaliza kila kitu apo kula like 100Ngoja tu nikwambie ni asilimia kidgo tu ya wanawake wanapenda hizo mambo za puli sijui/sex
Wengi wao wanapenda true love,yaani umpende,umjali,umthamini,umpe nafasi ya kusikilizwa,ukikosea umuombe msamaha na mengine mengi ambayo yanampendeza
NB😛esa inaongeza raha ya mapenzi kwahy usijidanganye ukampetipeti bila hata kumpeleka dinner/usimpe hata hela ya shopping ukategemea akupende na njaa zako sahau
Mweeeeh! Nitakuwa naiba mbali na wewe!Ulipokuwa unaibia wewe
Hahahaha shostUwiiiiii umemaliza yote.
Ni kama umeongelea hitaji la nafsi yangu.
[emoji122][emoji122][emoji122]
😂Hapo ikifika muda wa mahitaji, hawa viumbe wanaombaga hela tu, hataki kujua umepata au hauna au hauna kazi.
Ndio maana tumeambiwa sisi wanaume tuishi na wanawake zetu kwa akili, hekima na busara
HahahaAll of the above, and remember.... woman's need everything.
Hawa viumbe hawapo specific.
Unaweza kupata mmoja ambae yeye atakuambia anataka akuone tu karibu yake, na hata kazini usiende[emoji23] [emoji23]