Edoedward1
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 795
- 309
I bet ni vingi ndo maana huvijuiMie hata sijuagi navutiwa na nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I bet ni vingi ndo maana huvijuiMie hata sijuagi navutiwa na nini
Umeona eeeh!! Mwambie baba yako nataka kitochi changu.Ndo maana wamama watu wazima mnakatazwa kuingia social networks, umeona ulivyoharibu sasa?
Mimi nipo tayari kuondoa kitambi ila ubahili NO![emoji1]Hapo ondoa ubahili na kitambi.
Nimekupenda bure!Na huu ndo ukweli halisi, true love mengine yatafuata.
Act as le king
of all bongo
social network
sasa hiyo hoja ya mgegedo mkubwa inakuja vipi ?
Yaani mdada akupende kisa unalo kubwa kwani huko kwenu mnatembea uchi ?
Ubarikiwe Bi'mkubwa kwaUsikate tamaa mapema hivyo bwana, muonyeshe njia taratibu ataelewa.
Good boy.Ubarikiwe Bi'mkubwa kwa
kua muwazi-nitazungumza naye leo kabla sijalala
Habari shemeji kui auHahah!...Ijumaa Karim.
Mbona umewataja juma na karim?Hahah!...Ijumaa Karim.
Yaani bora uondoe ubahili uache kitambi kitavumilika.Mimi nipo tayari kuondoa kitambi ila ubahili NO![emoji1]
Hahahaaaaa! Aisee hao wanawake wa sayari gani?Wanawake wanapenda sana vitu unique,
Hasa vya ulemavu, mfano mwanaume anaweza akawa anaongea kama chura anakoroma basi akawavutia wanawake akawa anawagegeda tu.
Habari shemeji kui au
hainaga ushemeji?