Ni kitabu gani ambacho ulishakisoma na unatamani watu wengine wangekisoma pia, (recommend hapo chini).

Thecoder

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
1,590
Reaction score
4,244
Wasalaam...

Ni marufuku kuongea juu ya jambo lolote kabla ya kufikiri ila pia fikra haziji kwenye kichwa kisicho na maarifa juu ya jambo au mambo yazungumzwayo.

Kwahiyo ili mtu apate uwezo mzuri wa kufikiri zaidi ni lazima ajiongezee maarifa ya hapa na pale ndani ya kichwa chake na njia moja wapo ya kuongeza maarifa ni kusoma vitabu mbalimbali.

Kwa maana ndani ya vitabu huwa tunajifunza juu ya mambo mbalimbali yaliyofanywa na watu wengine pamoja na matukio ya hapa na pale ambayo yaliwahi watokea watu wengine na namna ambavyo waliweza kukabiliana nayo.

Lakini pia ndani ya vitabu tunapata hamasa kwa maana tunasoma mafanikio ya watu wengine katika biashara kadha wa kadha kwahiyo kupitia hamasa hizi na sisi zinatufanya tujitajidi katika utafutaji.

Mimi mwaka uliopita nilisoma soma vitabu kadhaa ila kitabu ambacho nilimaliza nacho mwaka ni the fastlane millionaire kilichoandikwa na ndugu MJ DeMarco.

Sasa tuambie na wewe, ni kitabu gani ambacho ulikisoma na kikakupa funzo fulani au kikakuhamasisha kwenye jambo fulani na ungetamani na wengine wakisome?
 
THE WORLD OF PHYSICS
 
Recently, I read Robin Sharma's book “Who will cry when you die!”.

Why I liked this book:

The way of delivering his idea is unique, he doesn't write a lot of things in 8–10 chapters rather he divided his ideas in small chunks and this book contanis 101 chapters ( quite engaging and motivational), each chapter of 2–3 pages.
His ideas, which he talk about, can be experienced by any generation, they don't sound like age specific, profession specific or what else.
This book starts with a famous saying “When we born we cried while the world rejoiced, live your life in such a way that when you die the world cry while you rejoice.” - Self Explanatory
If you get sometime to read or you wanna start with some good book, I would recommend this masterpiece from Robin Sharma.

 
Wow, thanks for good explanation... I will add this to my library.
 
I have read a lot of books. But every year I have to re-read Think and Grow Rich by The Napolleon.
I started my January with this book, na ulivyo recommend inaonesha ni kwa kiasi gani sijakosea.
 
Biblia Takatifu
 
Men are from mars women are from venus, kina nondo za maana sana katika mauhisiano....siku nakisoma nlikua nacheka kwakweli kuna mambo unatumia nguuuuuvu katika mahusino unavuruga kumbe ni vitu hata havitaki nguvu.

Ukisoma huko kitabu utajua kwanini wanawake wananuna bila sababu aaah sio bila sababu kumbe huwa wana sababu😂

Pia utajua kwanini mwanaume unaweza kuwa mpo katika mahaba mazito mara ghafla tu anajitenga anakaa pembeni, katika moment hii kumbe anahitaji space ukimfatafata ndo unazidi kumkera
Bro Carleen soma hiki kitabu
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…