Ni kitabu gani ambacho ulishakisoma na unatamani watu wengine wangekisoma pia, (recommend hapo chini).

Ni kitabu gani ambacho ulishakisoma na unatamani watu wengine wangekisoma pia, (recommend hapo chini).

Men are from mars women are from venus, kina nondo za maana sana katika mauhisiano....siku nakisoma nlikua nacheka kwakweli kuna mambo unatumia nguuuuuvu katika mahusino unavuruga kumbe ni vitu hata havitaki nguvu.

Ukisoma huko kitabu utajua kwanini wanawake wananuna bila sababu aaah sio bila sababu kumbe huwa wana sababu😂

Pia utajua kwanini mwanaume unaweza kuwa mpo katika mahaba mazito mara ghafla tu anajitenga anakaa pembeni, katika moment hii kumbe anahitaji space ukimfatafata ndo unazidi kumkera
Bro Carleen soma hiki kitabu
Asante sana... Wacha nikipitie, huwa nakionaga hiki kitabu ila sijawahi kushawishika kukisoma kutokana na hiyo falsafa ya mapenzi coz Mimi si saaaana upande huo ila inaonekana kina madini so wacha nikisome nijifunze kitu tofauti 😅😅😅
 
Men are from mars women are from venus, kina nondo za maana sana katika mauhisiano....siku nakisoma nlikua nacheka kwakweli kuna mambo unatumia nguuuuuvu katika mahusino unavuruga kumbe ni vitu hata havitaki nguvu.

Ukisoma huko kitabu utajua kwanini wanawake wananuna bila sababu aaah sio bila sababu kumbe huwa wana sababu😂

Pia utajua kwanini mwanaume unaweza kuwa mpo katika mahaba mazito mara ghafla tu anajitenga anakaa pembeni, katika moment hii kumbe anahitaji space ukimfatafata ndo unazidi kumkera
Bro Carleen soma hiki kitabu
thank you so so much Bro, niliwahi kisoma zamani sana, wacha nikirudie tena sahii tafadhali, I appreciate the reminder..!!
sahii nasoma 'the power of a Praying Wife', ngoja nirudie nahicho nikiwa na akili timamu za ukubwani, mbona nikitoka hapa nitakuwa nimewiva..!!☺️🤭
 
Asante sana... Wacha nikipitie, huwa nakionaga hiki kitabu ila sijawahi kushawishika kukisoma kutokana na hiyo falsafa ya mapenzi coz Mimi si saaaana upande huo ila inaonekana kina madini so wacha nikisome nijifunze kitu tofauti 😅😅😅
Kizuri kwakweli, kuna vitu utavijua kihusu wanawake halafu havitakushughulisha tena ukiona mwanamke anavileta unapuuza maisha yanakua na amani sana 😂, once you get to know men are from the mars and women are from venus, watu wawili waliotoka sayari tofauti na sasa wapo on earth wanatakiwa kukaa pamoja tena kwa amani.

Watu wawili wenye tabia tofauti kabisa, nlipenda stress management concept, mwanaume akiwa na stress anaenda kwenye cave anatafakari, wakati mwanamke hajui hicho kitu cave.😹
 
thank you so so much Bro, niliwahi kisoma zamani sana, wacha nikirudie tena sahii tafadhali, I appreciate the reminder..!!
sahii nasoma 'the power of a Praying Wife', ngoja nirudie nahicho nikiwa na akili timamu za ukunwani, mbona nikitoka hapa nitakuwa nimewiva..!!☺️🤭
Nkuongezee na the power of the pussy? 🤭🤭

download (6).jpeg
 
Back
Top Bottom