Kakikundi hako kangekuwa na manufaa zaidi, nadhani akwilina angekuwa darasani sasa hivi na si huko alipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakikundi hako kangekuwa na manufaa zaidi, nadhani akwilina angekuwa darasani sasa hivi na si huko alipo.
Helmet haizuii high callibre bullet ila sana inapoza risasi za mbali na ina kuwa na sehemu ya kupachika Nghtvission googles.Mzee hiyo ni gear ya SAS hayuko full hajavaa kofia ya chuma
Wale wanaitwa "Rag tags assasins"...wao bora mkono uende kinywani na Balimi zikikauke mezaniKakikundi hako kangekuwa na manufaa zaidi, nadhani akwilina angekuwa darasani sasa hivi na si huko alipo.
Huyo hatari sanaa...Nimesoma mahali huyo jamaa ni trainer wa Kenya special forces.
Sisi tunao Special forces ila hutawaona mabarabarani wakijiita mamba wakiwa tayari kuwameza wananchi.Haa ha ha..wabongo kwa kuponda Askari wetu...!! Aisee yani utadhani hawaisaidii jamii kwa lolotee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu anawaonaa ipo siku watatangulia mbele kama wale wa Kenya...
Sent using Jamii Forums mobile app
Makomandoo wa kawaida sio SAS.
Ndio maana nikasema nimekumbuka, kuna dhambi yoyote kukumbuka kitu halafu ukaandika. Maisha mafupi na huu uzi sio serious kivile. Usichukulie kila kitu maishani katika hali ya umakini kama vile unajibu mtihani wa chuo kikuu, there is a light touch in life.Unaonekana mwanaume chaumbea... huyo aliyempiga finger boss ni SAS?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anayemsema ni SAS trainer wa special forces Kenya.
Kama wewe ulivyo na training maalum ya kumsifu huyo kwenye avatar yako.Nyie mmepata training ya kumsifu na kumuabudu magofool!
Habari zinasema alikua off duty aliposikia alikwenda eneo la tukio sababu vitendea kazi alikua navyo kwenye boot lake la gari. Na alikua anafanya shopping eneo jingine. Ila SAS member non commissioned wa miaka mingi.Good basi alikuwa at right place at a right time. Nawa admire SAS. Tough straight. Hawana muda wa video kama navy seals.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu GUSSIE, Ndio maana nikasema nimekumbuka, kuna dhambi yoyote kukumbuka. Ningekuwa nimekumbuka suala linamhusu Tundu Lissu au mpinzani basi usingeandika ulivyoandika. There is a light touch in life.Hujielewi na wala hujamuelewa malcom
Hivi shule ulipelekwa kujaza taka kichwani au
Amekuelimisha kazi ya walinzi sio kubinya watu mbavu wewe unakasirika
Certified Idiot
Mzenji mlinzi ni komandoo kama hao SAS. Nyinyi mliozaliwa kwa makusudi maalum mbona ni wapuuzi tu mnaomalizia hasira kwenye uzi wa jamii forum!!.Wewe ndio Tahira uliyeanza kuandika habari za mzenji mlinzi
Madhara ya kuzaliwa kwa bahati mbaya ndio akili Kama zako
staafu wanaondoka na mazagazaga yote hayo (mabunduki,visu etc) na kukaa nayo kwenye nchi za watu? au Bongomovie?Correction. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.
SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.
Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao vijana wa ccm wanawaza ujinga tu kila saa. Sasa mambo ya bodyguard wa jpm yanahusika nini na hii mada?!Wewe umeandika kipumbavu sana hasa uliposifia mtu kufanya hivyo kwa eti boss!! Yaani boss yupo na boss afu unampiga finger? Huu kwako ndio ushujaa? Unatia kinyaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mpumbavu! Mambo ya bodyguard wa jpm inahusika vipi na huu uzi wa jamaa?!Mkuu huwa naheshimu mawazo yako lakini nahisi leo umeandika upuuzi. Hapo hatishii kuua anakwenda kuyaua magaidi, ndio maana yupo full kivita.
Huu uzi sio wa siasa zetu za CCM na CDM, mheshimu aliyeupandisha jukwaani.
Mpumbavu ni wewe usiyeelewa maana ya neno "nimekumbuka", waingereza wanasema "it reminds me", someni kila neno na muelewe linamaanisha nini.Wewe ni mpumbavu! Mambo ya bodyguard wa jpm inahusika vipi na huu uzi wa jamaa?!
Huyo jamaa kajibu comment ya mpuuzi mmoja (sina uhakika kama ni wewe) aliyekuwa anamsifia body guard (mpambe) wa rais kwa kumchoma dole za mbavu Boss mmoja mbele ya muheshimiwa!Mkuu sijakuelewa unamaanisha nini!. Uzi unahusiana na huyo SAS member wewe unakuja na habari zisizo na kichwa wala miguu!.
Au ndio yale madhara ya Makonda kuruhusu watu wapige kinywani 24/7?.