Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Si vema kuandika..."UONGO"...!Ungeandika ..."nasahihisha"...😂Uongo, GSU ilijulikana sana wakati wa moi nikiishi Nairobi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si vema kuandika..."UONGO"...!Ungeandika ..."nasahihisha"...😂Uongo, GSU ilijulikana sana wakati wa moi nikiishi Nairobi
Mtu anayeandika kitu kwa kujiamini wakati hana uhakika ni muongoSi vema kuandika..."UONGO"...!Ungeandika ..."nasahihisha"...😂
GSU inafahamika sana Kenya toka miaka ya 90ni kama FFU hapa bongoNchi kam zakwetu huenda kuwa tunazo. Maybe hawana training kama ya wenzetu.
The thing is hiv vikosi ni vya siri sana kias kwamba members wa huko hawajulikani majina yao.
Uwa wanajulikana baadae wakishatoka nje ya jeshi. Kustaaf au kuacha.
Mfano kuna kikos maalum cha polis kutoka kenya kinaitwa GSU(general security unit) a.k.a recce. Hawa jamaa wamekuja kujulikana kwenye tukio la westgate. Hakuna ambae alikuwa akifaham existence yao.
Vikosi vipo. Ila vinafichwa sana kwa usiri mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujielewi na wala hujamuelewa malcomMkuu huwa naheshimu mawazo yako lakini nahisi leo umeandika upuuzi. Hapo hatishii kuua anakwenda kuyaua magaidi, ndio maana yupo full kivita.
Huu uzi sio wa siasa zetu za CCM na CDM, mheshimu aliyeupandisha jukwaani.
Wewe ndio Tahira uliyeanza kuandika habari za mzenji mlinziMkuu sijakuelewa unamaanisha nini!. Uzi unahusiana na huyo SAS member wewe unakuja na habari zisizo na kichwa wala miguu!.
Au ndio yale madhara ya Makonda kuruhusu watu wapige kinywani 24/7?.
huku kwetu kukundi kama hicho kinaitwa WASIOJULIKANAMazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth
Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal
Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.
SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.
SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444
View attachment 997630
Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?
Inatokea mkuu. Lakin inategemea na muundo wa serikali yenyewe.Hili la rais kutojua vikosi vilivyoko nchini wake halijakaa sawa,unajua rais wa nchi ndio mkuu wa agent za ujasusi wa nchi husika,sasa kama majasusi wasijue vikosi vilivyoko nchini kwao hao ni majasusi au ni mgambo wa jiji?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa miaka mingi sasa Kenya kuna millitary base za uingereza, ila kwa kutokujua au kubisha kwa makusudi wakenya wanabisha nchi yao haina tofauti sana na koloni la uingereza, uchumi mkubwa wa kenya upo owned na ulaya kwa hiyo kwao siyo hasara kuilinda kenya kwa gharama yeyote ili kiukweli kulinda masilahi yao na si ya makwabwela wa kenya. TUMWOMBENI MUNGU SANA KWA HILI TUPO HURUMazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth
Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal
Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.
SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.
SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444
View attachment 997630
Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?
Correction huyu jamaa ni mmoja wa ma trainer waliopo Kenya. Hapa UK kaitwa Hero kwenye vyombo vya habari na wameweka sababu ya yeye kuwepo katika hiyo operation
Kwahiyo mkuu tusiwaamini waliokuwa kwenye tukio wanaosema magaidi wameuwawa tukuamini wewe ambae uko Tandale Kwa Mtogole muda huu?!
JSOC sio kikosi bali ni command. Joint special operation command. Hawa jamaa ndio wako reponsible kupanga mission,execute, training for all special forces unit.Mkuu unavyosema Navy Seals hawako fit kihivyo mimi ndiyo napata ukakasi kabisa. Maana historia inatuambia kwamba Navy Seals walianzishwa baada ya Delta Force kuonakana haifanyi vizuro kwenye baadhi ya maeneo. Mathalani, nadhani katika dunia hii ya leo vifaa mbali na mazoezi ni moja ya sababu ya kikosi kuwa imara. Hivi kuna kikosi cha makomandoo ambacho kina vifaa vya ajabu kama Navy Seals ? Mwanajeshi wa kawaida wa Marekani akiwa amevaa full gear siyo chini ya milioni 40 za kitanzania (Do your research). Hapa ndipo wanapokuwa mbele ya vikosi vingine duniani.
Lakini sasa nakubaliana na wewe kwamba SAS ni hatari kwenye mambo mengi kwasababu tofauti kabisa na kikosi kingine chochote cha makomando hapa duniani SAS ndicho kikosi kilichopigana vita ya pili ya dunia na kufanikiwa kuonyesha umahiri wa hali ya juu sana.
SAS is ana amalgamation of multiple military units that were under the shadow of the British Empire. Wanahistoria wanasema hivi, Uingereza kama lilivyokuwa dola la Mrumi alikuwa akivamia nchi na kikuta kwamba kuna vikosi vyenye ustadi mkubwa wa kupigana. Alikuwa anachukua ujuzi huo na kufundishia jeshi lake. Alifanya hayo mambo Scotland ambako wanajeshi wake walikuwa wanajua sana vita vya msituni, hapa akatengeneza the Levat Scouts. Akafanya hivyo British India ambako wanajeshi wa Nepal na India wale walikuwa na utaalamu wa pekee sana na Uingereza akatengeza The Ghurkas.
Baada ya kuwatwanga makaburu kule Afrika Kusini, Uingereza alishangazwa sana na ujuzi wa makomando wa kikabiru. Akaamua kuuchukua na kujifunza, vita ya kwanza ya dunia inatokea. Makomando wa Kikaburu ndiyo walitumiwa kuja kupigana na Mjerumani hapa Afrika Mashariki, Namibia na sehemu nyingine. Tafuta kitabu kinaitwa The Boer Commando.
Mwaka 1941 Winston Churchill alipowa mapendekezo ya kuanzisha SAS na wataalamu walishauri kwamba, kikosi hiki kiwe kinaunganisha utaalamu wa vikosi vyote ambavyo Uingereza aliwahi kuvianzisha huko nyuma. SAS ni mchanganyiko wa Ghurkas, Levat Scouts, Boer Commandos na vinginevyo.
Wanautaalamu wa hali ya juu sana, lakini hili halifai kusema kwamba Navy Seals hawana uwezo. Laiti kama Osama Bin Laden angekuwa anaongea basi angalisema hili. Japo siku hizi tena Marekani anatumia kikosi kinaitwa JSOC ambacho kinasemekana kuwa ndiyo hatari zaidi katika kushughulikia maadui wa Marekani. Afghanistani wanasema hiki kikosi kimewashughulikia sana Taliban hadi basi. Ni zao la zao la Jasusi+Ukomando...
Wenyewe hawataki kabisa kizungumziwe hata na vyombo vya habari....
Sent using Jamii Forums mobile app
... nakubaliana na wewe! Kama lile lililong'ata konda kule Tunduma liko vizuri mno maana linatumia silaha "zote".Hata TZ tunanao hao special force tena wiko vizuri tu na wameshafanya mission impossible nyingi tu sema kimya kimya tena zingine ukiambiwa huwezi amini kama zimefanywa na askari wa kawaida tu sio special force. Tuko vizuri tuendelee kuunga mkono juhudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
hujaelewa nini sasa, Member wa SAS alikua akitoa mafunzo katika jeshi la kenya wakati tukio linatokea, so akaamua kwenda kusaidia. Hope umeelewa...Ninyi watu ninyi...!!! Kwa hiyo, shambulio la hivi majuzi ilikuwa 'practical' ya trainees wa jeshi la kenya?
====
Acheni masihara katika matukio ya hatari!
No ni FBI na walivaa vest za FBI, ubalozi wa marekani unalindwa na FBI mkuu,
... bisu lote la nini Mkuu. Huyu akikulabua kofi itakuchukua wiki nzima kuzinduka if not for good!Huyu ukikumbana naye ana kwa ana wala hapotezi risasi. Bisu tu tosha, unabaki ukikoroma.
... kuna majamaa hayaogopi risasi aisee! Jamaa aka-cancel plan zake zote za siku hiyo na kuwahi eneo la tukio; yuko fit balaa! Ingekuwa wale wa kwetu waliomng'ata konda wangekufa kwa kihoro papo hapo na mavitambi yao utafikiri wajawazito!Huyo SAS alikuwa yuko kikazi nchini Kenya. Anatoa mafunzo. Siku ya tukio alikuwa mjini kwenye msele yake ila kwenye gari alikuwa na zana zake zote. Akavaa akawahi eneo la tukio.
... neno ubalozi likitajwa namkumbuka Khashogi! Balozi za Saudia zinakuwaga na visu maalum vya kuwachinjia wabaya wao na viroba vya kuhifadhi nyama baada ya kuwacharanga.Ubalozin huwa kuna kila kitu. Tactical gia na silaha.
Rember tofauti na vikos vingine ex- SAS member huitwa kusaida wakat wa hatari..
So ni ishu ya sim na kuletewa vifaa vya kaz
Sent using Jamii Forums mobile app
... halafu inasemwa binadamu wote ni sawa! Huyo jamaa thamani yake ni kubwa mno; kumpoteza ni hasara kweli kweli!Uyo jamaa ni kifaa cha jeshi kama kifaru tu
Rais cheo chake ni cha muda mfupi sana while usalama wa nchi is everlasting! Kila mtu ana tabia yake; mkikutana na mropokaji anaweza hata kutoa siri kwa kujua au kutokujua; akiwa madarakani au baada ya kustaafu. So, ni sahihi wasijue.Hili la rais kutojua vikosi vilivyoko nchini wake halijakaa sawa,unajua rais wa nchi ndio mkuu wa agent za ujasusi wa nchi husika,sasa kama majasusi wasijue vikosi vilivyoko nchini kwao hao ni majasusi au ni mgambo wa jiji?
Sent using Jamii Forums mobile app