Ni Kitendo cha Nadra sana kuwaona Askari wa Uingereza Special Air Service (SAS) na Navy Seals


Maisha haya ....
 
Hawa wa kwetu wakiwa off duty au wakistaafu hufanya kazi za chama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spetznas ( Russia ) ndo kikosi bora duniani na ni mojawapo ya kikosi katili sana na kinaogopwa sana. Mafunzo yao ni balaa 80% ni pain endurance so mateso kwao ni burudani.
uko sasa sawa kabisa maana wanachokifanya syria huko ni zaidi ya shetani mwaka jana kuna spertsnaz mmoja aliua IS zaidi ya kumi na tano peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majirani na ndugu zetu Wakenya hawa wazungu waangalieni kwa macho zaidi ya mawili msije mkawa mnachezeshwa ngoma isiyo yenu
Baba yenu Kenyatta senior alikuwa mjanja saana kukataa kuchezeshwa ngoma inayoitwa Muungano na Znz siye wa Tz tukaingia ngomani, naam goma linatokota

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Check Africa uncensored on YouTube to see how things unfolded..The mirror waache propaganda
 
Check Africa uncensored on YouTube to see a better insight
 
Check Africa uncensored on YouTube to see how things unfolded..The mirror waache propaganda
Nimeangalia clip mbili na ya kwanza naona watu wanakimbia wengine wamepigwa risasi na jamaa anawaombea msaada wabebwe na pikipiki
Kabla sijaimaliza hiyo clip nimeamua kuiacha na kuja na maswali unisaidie
Hivi nchi inayojisifu na maendeleo hakuna ambulance kweli?
Yaani uber kafika kabla ya ambulance
Mtu kapigwa shaba unamuombea lift kama anaenda bar

Sent from my SM using Tapatalk
 
After kua short Kwa parking walitokea Kwa main road kutafta usaidizi hakuna time y kupingia ambulance simu..nkutumia what is available
 
these are the guys who killed those attackers
 

Attachments

  • Kenyan-Army-Special-Operations-Regiment-SOR-9.jpg
    68.6 KB · Views: 35
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…