Ni kitu gan kinanisumbua wakuu msaada tafadhali

Ni kitu gan kinanisumbua wakuu msaada tafadhali

scot mcomic

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2021
Posts
234
Reaction score
383
Wakuu habarini za weekend nisipteze muda sasa ni wiki ya tatu sasa napata kiungulia kikali, kizungu zungu yaani kuna muda nikisimama kama naona naanguka hivi, lips zinauma mara nyingine kichefuchefu. Je wataalam wa JF hali hii inayonitokea, nitakuwa nasumbuliwa na nini?

Natanguliza Shukran zangu
 
Mkuu salamu..kwanza pole Sanaa..pia kwa maelezo yako hayajitoshelezi..kuweza kukupatia majibu ya Nini ufanye..fanya uende kituo Cha afya ufanye vipimo.

Hapa tutaanza ku guess labda minyoo, upungufu wa damu, msongo wa mawazo, una uzito kiasi gan KG, Unafanya kazi gani, mlo wako ukoje, una magonjwa ya kurithi, unakunywa maji ya kutosha N.k
Hoja/ maswali yanakua mengi kikubwa nenda hospital kapime.
Kwa Sasa huo ndio ushauri wangu kwa Sasa.
 
Wakuu habarini za weekend nisipteze muda sasa ni wiki ya tatu sasa napata kiungulia kikali, kizungu zungu yaani kuna muda nikisimama kama naona naanguka hivi, lips zinauma mara nyingine kichefuchefu. Je wataalam wa JF hali hii inayonitokea, nitakuwa nasumbuliwa na nini?

Natanguliza Shukran zangu
Hiyo ni mimba! Kwani mtaani kwenu condom hawauzi ama bwana wako alikuambia hataingiza yote?
 
Mkuu salamu..kwanza pole Sanaa..pia kwa maelezo yako hayajitoshelezi..kuweza kukupatia majibu ya Nini ufanye..fanya uende kituo Cha afya ufanye vipimo.

Hapa tutaanza ku guess labda minyoo, upungufu wa damu, msongo wa mawazo, una uzito kiasi gan KG, Unafanya kazi gani, mlo wako ukoje, una magonjwa ya kurithi, unakunywa maji ya kutosha N.k
Hoja/ maswali yanakua mengi kikubwa nenda hospital kapime.
Kwa Sasa huo ndio ushauri wangu kwa Sasa.
Miaka 26 kg61 mm nina umbo dogo tu lakipare ni mwalimu maji nakunywa mana nipo sehemu yenye jua kali sana msongo wa mawazo cjui kama ninao mana naskia watu wanasemag unawez kuw na msongo na usijijue
Mkuu salamu..kwanza pole Sanaa..pia kwa maelezo yako hayajitoshelezi..kuweza kukupatia majibu ya Nini ufanye..fanya uende kituo Cha afya ufanye vipimo.

Hapa tutaanza ku guess labda minyoo, upungufu wa damu, msongo wa mawazo, una uzito kiasi gan KG, Unafanya kazi gani, mlo wako ukoje, una magonjwa ya kurithi, unakunywa maji ya kutosha N.k
Hoja/ maswali yanakua mengi kikubwa nenda hospital kapime.
Kwa Sasa huo ndio ushauri wangu kwa Sasa.
 
Hapo ni Bora uende hospital ufanye testing mkuu.
Wakuu habarini za weekend nisipteze muda sasa ni wiki ya tatu sasa napata kiungulia kikali, kizungu zungu yaani kuna muda nikisimama kama naona naanguka hivi, lips zinauma mara nyingine kichefuchefu. Je wataalam wa JF hali hii inayonitokea, nitakuwa nasumbuliwa na nini?

Natanguliza Shukran zangu
 
Wakuu habarini za weekend nisipteze muda sasa ni wiki ya tatu sasa napata kiungulia kikali, kizungu zungu yaani kuna muda nikisimama kama naona naanguka hivi, lips zinauma mara nyingine kichefuchefu. Je wataalam wa JF hali hii inayonitokea, nitakuwa nasumbuliwa na nini?

Natanguliza Shukran zangu

Pole sana.
Nenda hospitalini ukaonane na daktari ili akufanyie uchunguzi na vipimo ili kubaini tatizo linalokusumbua.

Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom