scot mcomic
JF-Expert Member
- Apr 17, 2021
- 234
- 383
- Thread starter
- #21
Nimeambiwa nina vidonda vya tumbo mkuu vya huyo bacteria h.plory ss notapona kweli ?Kapime H. Pylory , na utendaji kazi wa figo zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeambiwa nina vidonda vya tumbo mkuu vya huyo bacteria h.plory ss notapona kweli ?Kapime H. Pylory , na utendaji kazi wa figo zako
Pole mkuu. Tumia dawa kwa usahihi utapona . Nadhani hapo wamekuandikia antibiotic za siku 14. Usipopona utabadilishiwa dawa.Nimeambiwa nina vidonda vya tumbo mkuu vya huyo bacteria h.plory ss notapona kweli ?
Nimepew dawa za wiki mbili kweli mkuu je baada ya hapo nawez rudia mlo wa kawaid mkuu maana saiv nimepew makatazo sanaPole mkuu. Tumia dawa kwa usahihi utapona . Nadhani hapo wamekuandikia antibiotic za siku 14. Usipopona utabadilishiwa dawa.
Hizo bacteria zina affect mfumo mzima wa digestion. Masharti nilazima uzingatie baada ya mwezi unaweza kududia kupima kama umepona vidonda vimepona na bacteria wameisha hapo ndio utakuwa kawaida lakini kama vidonda havijapona lakini bacteria wameisha itakubidi kuzingatia masharti kwa muda . Mpaka ukae sawa. Kumbuka vidonda vinapona na bacteria wanaosababisha vidonda wanakufa. Ndipo utakaa sawa.Nimepew dawa za wiki mbili kweli mkuu je baada ya hapo nawez rudia mlo wa kawaid mkuu maana saiv nimepew makatazo sana
Alaf vip kuusu kuuma kwa lips maan hususan za juu zinauma wakati mwingine
Umenitia moyo mkuu shukran sanaHizo bacteria zina affect mfumo mzima wa digestion. Masharti nilazima uzingatie baada ya mwezi unaweza kududia kupima kama umepona vidonda vimepona na bacteria wameisha hapo ndio utakuwa kawaida lakini kama vidonda havijapona lakini bacteria wameisha itakubidi kuzingatia masharti kwa muda . Mpaka ukae sawa. Kumbuka vidonda vinapona na bacteria wanaosababisha vidonda wanakufa. Ndipo utakaa sawa.