scot mcomic
JF-Expert Member
- Apr 17, 2021
- 234
- 383
Ni me mkuuKama kike ni mimba kama kiume unaugonjwa si bure...kawaone wataalamu
atakuwa chaputa mwandamizi, ila sasa puchu ipelekee lips kuumakama wewe nimwanaume mkuu samahani ila niwe muwazi. punguza punyeto!utanishukuru baadae.
Hiyo ni mimba! Kwani mtaani kwenu condom hawauzi ama bwana wako alikuambia hataingiza yote?Wakuu habarini za weekend nisipteze muda sasa ni wiki ya tatu sasa napata kiungulia kikali, kizungu zungu yaani kuna muda nikisimama kama naona naanguka hivi, lips zinauma mara nyingine kichefuchefu. Je wataalam wa JF hali hii inayonitokea, nitakuwa nasumbuliwa na nini?
Natanguliza Shukran zangu
Miaka 26 kg61 mm nina umbo dogo tu lakipare ni mwalimu maji nakunywa mana nipo sehemu yenye jua kali sana msongo wa mawazo cjui kama ninao mana naskia watu wanasemag unawez kuw na msongo na usijijueMkuu salamu..kwanza pole Sanaa..pia kwa maelezo yako hayajitoshelezi..kuweza kukupatia majibu ya Nini ufanye..fanya uende kituo Cha afya ufanye vipimo.
Hapa tutaanza ku guess labda minyoo, upungufu wa damu, msongo wa mawazo, una uzito kiasi gan KG, Unafanya kazi gani, mlo wako ukoje, una magonjwa ya kurithi, unakunywa maji ya kutosha N.k
Hoja/ maswali yanakua mengi kikubwa nenda hospital kapime.
Kwa Sasa huo ndio ushauri wangu kwa Sasa.
Mkuu salamu..kwanza pole Sanaa..pia kwa maelezo yako hayajitoshelezi..kuweza kukupatia majibu ya Nini ufanye..fanya uende kituo Cha afya ufanye vipimo.
Hapa tutaanza ku guess labda minyoo, upungufu wa damu, msongo wa mawazo, una uzito kiasi gan KG, Unafanya kazi gani, mlo wako ukoje, una magonjwa ya kurithi, unakunywa maji ya kutosha N.k
Hoja/ maswali yanakua mengi kikubwa nenda hospital kapime.
Kwa Sasa huo ndio ushauri wangu kwa Sasa.
Vinafany lips kuuma kumbe mkuu?Vidonda vya tumbo pole sana
Situmii kabis mkuuAcha pombe.
Sio ushauri we acha tu
Mm wakiume mkuuHiyo ni mimba! Kwani mtaani kwenu condom hawauzi ama bwana wako alikuambia hataingiza yote?
Wakuu habarini za weekend nisipteze muda sasa ni wiki ya tatu sasa napata kiungulia kikali, kizungu zungu yaani kuna muda nikisimama kama naona naanguka hivi, lips zinauma mara nyingine kichefuchefu. Je wataalam wa JF hali hii inayonitokea, nitakuwa nasumbuliwa na nini?
Natanguliza Shukran zangu
Kesho ntatoa mrejesh naenda hospitalHapo ni Bora uende hospital ufanye testing mkuu.
Sawa mkuuKesho ntatoa mrejesh naenda hospital
Wakuu habarini za weekend nisipteze muda sasa ni wiki ya tatu sasa napata kiungulia kikali, kizungu zungu yaani kuna muda nikisimama kama naona naanguka hivi, lips zinauma mara nyingine kichefuchefu. Je wataalam wa JF hali hii inayonitokea, nitakuwa nasumbuliwa na nini?
Natanguliza Shukran zangu
Nenda hospital watakupa details zote hiyo ni vidondaVinafany lips kuuma kumbe mkuu?