Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Sipendi kunywa maji
Huwa nakunywa kwa lazima nikibanwa na kwikwi..Leo sikumbuki hata kama nilikunywa maji
 
Unaanzaje kuwa peke yako wakati wadau wenzio tupo kwenye hyo no vyupi saga[emoji1787][emoji85]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jitahid uwe unakunywa tu maana maji ni uhai...weka hata limao na asali kwa mbali km unataka uyaone matamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi nilikuwa nafanya hivyo
Hadi nikaweka app kwa simi yangu inaitwa Drink water.kila alarm ikilia nakunywa hata robo kikombe kwa siku najikuta angalau nimekunywa hata glass 3.

Siku hizi app nishaitupilia mbali maskini Mimi sijui hata nipoje.
 
Hii scenerio nimeipenda[emoji28]....alaf awe mtanashati yan kale kamvuto kakichokozi kwa mbalii bac lazma convo iwe on [emoji91]

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau awe mrefu na mwenye kunukia ohooooo.....Hallelujah πŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈ
 
Kuna vitu ndani yetu inabidi tupambane navyo ili tujitendee haki mpenz hata km ni kero kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…