Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
MUNGU akufanyie wepesi insha'AllahNatafuta mke mtakatifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUNGU akufanyie wepesi insha'AllahNatafuta mke mtakatifu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda kwa kuwa unaishi mkoani mama:..siku ukihamia dar hiyo kauli hutoisema labda uwe na usafiri wako
Sisi wanaume tunapenda vikichora![emoji847][emoji847][emoji847]Mimi nisipovaa yaani nitakuwa kituko kituko kituko vile vidude vinajichora vinatuna kama sindano aisee
🙄🙄MUNGU akufanyie wepesi insha'Allah
Huwa navaa ili nipendeze na nijiridhishe mwenyewe kuwa hapa kweli naweza kutembea njiani [emoji4]Sisi wanaume tunapenda vikichora![emoji847][emoji847][emoji847]
Vipi hutaki Mungu akufanyie wepesi?[emoji849][emoji849]
Hafanani na mimi mkuu bali anafanana na mwandiko wangu😅Extrovert huyu anafanana na wewe kabisa![emoji316][emoji316][emoji316] View attachment 1569356
Mimi ni introvert nisiyependa kusoma vitabuExtrovert huyu anafanana na wewe kabisa![emoji316][emoji316][emoji316] View attachment 1569356
Ningependa ww ndio unifanyie wepesi.Vipi hutaki Mungu akufanyie wepesi?
Mimi ni mke wa mtu tayariNingependa ww ndio unifanyie wepesi.
Haina mlango[emoji1787]piemu yako haijaanza kuwa buzy mtakatifu [emoji28][emoji28]maana kunawakware hivyo vidude [emoji28]
Tumefanana hapo...Yaani kungekuwa na uwezekano wa kuvaa nguo mara moja then unanunua nyengine bila kufua na kuzirudia ningefurahi
Anakunywa bia glass mbilimbili![emoji316][emoji316][emoji316]Hafanani na mimi mkuu bali anafanana na mwandiko wangu[emoji28]
Mbona juzi nimekuona ukiwa unasoma biblia![emoji847][emoji847][emoji847]Mimi ni introvert nisiyependa kusoma vitabu
Sasa sijui nipo kundi gani
Unatuangusha sisi wanaume!Huwa navaa ili nipendeze na nijiridhishe mwenyewe kuwa hapa kweli naweza kutembea njiani [emoji4]
OhooMbona juzi nimekuona ukiwa unasoma biblia![emoji847][emoji847][emoji847]
Mimi ni mtumishi wa MunguUnatuangusha sisi wanaume!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2094]Jizazi