Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Mie huwa napenda mtu understanding zaidi, pengine ndio maana sipendi kutongoza hovyo. Napenda mtu anaeweza kusoma hisia zangu mapema akanielewa na ndio patners ambao nimedumu nao muda mrefu kuliko ambao niliwatongoza.

It sucks kuanza kumdanganya mtu mzima kwamba she is your everything and bla bla whilst kimsingi unataka companionship tu. Mapenzi yatajijenga taratibu as your know eachother well ila guess what? Huwezi kupata mtu bila kumtia fix flani. Naboeka!!!
 
Mungu anakuona.
 
Ss hapo tabu iko moja nakumbuka i used to know some1 lyk u,tukawa very close kwa mm nilivyomsoma ni kwamba alikuwa anaenjoy tukiwa wote ila hatukuwa seriously in that dive.Kumbe mwenzangu alifall banah...siku nipo na a long time male friend of mine restaurant flani akanichek tuonane maana hakuwa mbali na hapo basi nikamwambia aje tu,Guess what happened next.....
 
Kabla sijacomment utopole alikua tall or short guy
 
Ila mm napenda mtu straight yan ukija ukaniambia unahitaji companionship na ukaniweka wazi kwa kila kitu,aisee i always appreciate it na lazma uwe rafiki yangu wa kudumu.

Honesty is the best policy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…