Kuolewa mwisho tena, watoto watachelewa shule aisee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama mwenyewe alishanishindwa kunitoa nje Kama sitaki kutoka.
Nitatoka pale nitakapotaka Mimi.
Na uzuri nilipofika tu nikamwambia bi mkubwa mapema plan zangu,inayoanza hadi ya mwisho..ndoa iko mwisho kabisa na hapa bi mkubwa anafanya mpango plan zangu za mwanzo zitimie maana nishamwambia bila kutimiza hizo nyumbani kwako sitoki ng'oo.
Halafu juzi amekuja ananiambia "Anne yule rafiki yako mlisoma naye primary anaolewa,mama Yake amenipigia[emoji1787]"nikamjibu tu hongera zake.
Kwa Sasa siwezi tena gharimika maana sina hela na kwa kukopa sina [emoji1787]Kweli kabisa af mie nina jambo langu leo, tuchekiane baadae kuna swala nimeliona nataka nikupe hints kidogo..kuna mahala unafeli.
Ila kuchat ndio kinara, unaeza vunja screen kwa kuchapa vidole πππYaani tena usiku ndio kabisa
Kanuni yangu huwa siongei na simu usiku.
Bora hata mchana ninaweza nitajitahidi nikapokea.
Malezi ya kitoto yalishaniathiri hadi sasa bado najiona Mtoto,huwa nawaza nikipokea simu usiku nitaonekanaje!
Hata hivyoo sipendi tu kuongea na simu labda kuwe na hizo exceptions
Aliokwambia swala ni la hela nani, hebu acha wasiwasiπKwa Sasa siwezi tena gharimika maana sina hela na kwa kukopa sina [emoji1787]
My dream wifeYaani mimi maisha tu yananifanya nitembee.
Last week kahoma kalinibana,yaani nimekaa chumbani siku km 4 hivi sijatoka hata sebuleni..halafu nilikuwa naona kawaida,cha ajabu nilipotoka wakawa wananishangaa[emoji23][emoji23]
Ukinioa babe jitahidi kuwa na kila kitu nyumbani.. sipendi kuzurura mie, sipendi stori na watu, napenda kukaa mwenyewe na ikiwezekana Jenga nyumba porini huko tukakae huko
Hilo ni swala essential, yani mwanamke mchafu hapana kwa kweli!Umeuliza kwa upoleπ π
Kumbe kwenye dream Ila in real life not[emoji4]My dream wife
Nachukia sana shida na umaskini.. umasikini na shida ni kama kifo basi tuKushindwa kuwasaidia wenye shida.
(Nauchukia sana umasikini)
Not in real life.. na nilimaanisha mke wa ndoto zangu awe hata na nusu ya characters hiziKumbe kwenye dream Ila in real life not[emoji4]
Nilishawahi enda mara moja miaka ya nyuma sana,bro akaja nyumbani ooh dogo jiandae tuende Kili show ukawaone wasanii.miaka ya nyuma nilikuwa nasikiliza sana hizo nyimbo maana kaka zangu waligeuza nyumba ya mzee kama studio ya kupiga mziki.Duh, hii ni balaa [emoji23][emoji23][emoji23] we inaonesha hata Club unaiskiaga kwenye vyombo vya habari achilia mbali bar
Hata Mimi natamani Sana kuolewa na watoto wawahi shule ila Mipango yangu Ndiyo itakayodetermine muda wangu wa kuolewa.Kuolewa mwisho tena, watoto watachelewa shule aisee.
Kama jinsi ninavyochat hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila kuchat ndio kinara, unaeza vunja screen kwa kuchapa vidole [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aliokwambia swala ni la hela nani, hebu acha wasiwasi[emoji13]
Hahahah kwahio jamaa anarudi home saa 12 πππ ila nampongeza maana hakika atakuwa amepata mke kweli.Utakua unamfanaisha, sio mla chupa kwa kweli, kuhusu dish washer ipo shida umeme wa bongo sometimes ni mgao, halafu pia wakati mwingine mazoea, yani mimi huku napika, same time naosha vyombo fasta, mara naanza kusafisha jikoni ilimradi tu nijishughulishe pasipo kuwa na sababu[emoji3][emoji3][emoji3]
Heheheh ila sasa mie nataka tuchat kwa sauti.π au unaona aibu!?Kama jinsi ninavyochat hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuchat sina shida kabisa,sasa itategemea na kiwango cha mtu kunizoea...ukinizoea nachat mimi jamani.
Dada Chakorii nimepata mume[emoji14]My dream wife
Nipo weak Sana kuongeaHeheheh ila sasa mie nataka tuchat kwa sauti.[emoji41] au unaona aibu!?