Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama mwenyewe alishanishindwa kunitoa nje Kama sitaki kutoka.
Nitatoka pale nitakapotaka Mimi.

Na uzuri nilipofika tu nikamwambia bi mkubwa mapema plan zangu,inayoanza hadi ya mwisho..ndoa iko mwisho kabisa na hapa bi mkubwa anafanya mpango plan zangu za mwanzo zitimie maana nishamwambia bila kutimiza hizo nyumbani kwako sitoki ng'oo.
Halafu juzi amekuja ananiambia "Anne yule rafiki yako mlisoma naye primary anaolewa,mama Yake amenipigia[emoji1787]"nikamjibu tu hongera zake.
Kuolewa mwisho tena, watoto watachelewa shule aisee.
 
Yaani tena usiku ndio kabisa
Kanuni yangu huwa siongei na simu usiku.
Bora hata mchana ninaweza nitajitahidi nikapokea.
Malezi ya kitoto yalishaniathiri hadi sasa bado najiona Mtoto,huwa nawaza nikipokea simu usiku nitaonekanaje!
Hata hivyoo sipendi tu kuongea na simu labda kuwe na hizo exceptions
Ila kuchat ndio kinara, unaeza vunja screen kwa kuchapa vidole 😂😂😂
 
Yaani mimi maisha tu yananifanya nitembee.
Last week kahoma kalinibana,yaani nimekaa chumbani siku km 4 hivi sijatoka hata sebuleni..halafu nilikuwa naona kawaida,cha ajabu nilipotoka wakawa wananishangaa[emoji23][emoji23]

Ukinioa babe jitahidi kuwa na kila kitu nyumbani.. sipendi kuzurura mie, sipendi stori na watu, napenda kukaa mwenyewe na ikiwezekana Jenga nyumba porini huko tukakae huko
My dream wife
 
Duh, hii ni balaa [emoji23][emoji23][emoji23] we inaonesha hata Club unaiskiaga kwenye vyombo vya habari achilia mbali bar
Nilishawahi enda mara moja miaka ya nyuma sana,bro akaja nyumbani ooh dogo jiandae tuende Kili show ukawaone wasanii.miaka ya nyuma nilikuwa nasikiliza sana hizo nyimbo maana kaka zangu waligeuza nyumba ya mzee kama studio ya kupiga mziki.

Picha likaanza tumefika pale kuingia tu mziki,tumeingia humo ndani watu wamepombeka,wa kugombana wanagombana nikasema Leo nimejitafutia balaa.. nikamwambia bro turudi nyumbani,bro mwenyewe alikuwa anapiga vyombo,ananiambia ooh mi sirudi hadi nimuone Roma akiperform..ilivyofika saa 4 usiku nikaanza kumlilia anirudishe nyumbani.
 
Kuolewa mwisho tena, watoto watachelewa shule aisee.
Hata Mimi natamani Sana kuolewa na watoto wawahi shule ila Mipango yangu Ndiyo itakayodetermine muda wangu wa kuolewa.
Sitaki kuolewa nikiwa tegemezi kwa kila kitu, Hadi hela ya pad nipewe!?!?
Nafanya vijikazi,vikikaa sawa na nikiweza kupata hata Mia mbili kwa siku basi hapo nitakuwa tayari kuolewa.
Sasa namuomba Mungu anifanikishe hapo.
 
Utakua unamfanaisha, sio mla chupa kwa kweli, kuhusu dish washer ipo shida umeme wa bongo sometimes ni mgao, halafu pia wakati mwingine mazoea, yani mimi huku napika, same time naosha vyombo fasta, mara naanza kusafisha jikoni ilimradi tu nijishughulishe pasipo kuwa na sababu[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahah kwahio jamaa anarudi home saa 12 😂😂😂 ila nampongeza maana hakika atakuwa amepata mke kweli.

Hio usishangae af lazma uwe busy mtoto wakike hatakiwi kukosa shughuli ya kufanya. Ofcourse mungu amewaumba mko vizuri ku multi task hongera sana. Mie hivyo vyote lazma nivifanye sequentially...siwezi kufanya vitu vitatu kwa mara moja ntaunguza nachopika.
 
Back
Top Bottom