Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

aaaa ningekua na uwezo wa kupeana kichwa changu kisukwe kisha nirudishiwe ningefurahi sana.....sipendi ule uchungu wa kusukwa ...hahaa
 
aaaa ningekua na uwezo wa kupeana kichwa changu kisukwe kisha nirudishiwe ningefurahi sana.....sipendi ule uchungu wa kusukwa ...hahaa
Bora ujilie upara wako matata sanaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…kama nakuona na kiparaπŸ˜…πŸ˜…
 
Sipendi kuomba kitu chochote kutoka kwa mtu zaidi ya Mungu, ila kuna wakati inanilazimu kuomba huku moyoni nikiwa naumia sana.
 
Mie tena..usilogwe ukaniambia nikupambie kitu..naweza jenga ghorofa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…sifai..
Hahahahah upo kama best yangu mmoja huyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ akiamua kukisifia kitu hapo hajakiona aisee utastaajabu ukija kukiona sasa. Cha kawaida ila hio kampeni iliopigwa ni ya kiwango cha standard gauge πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yani na hela ya advance unaweza ukatoa..
 
Ukishakuwa mtu mzima huoni haja tena ya kupuyanga na maneno mengi! You hit the nail on the right spot..its either awe muelewa au akutose but ushakuwa muwazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…