Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

sipend kukojoa aise
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kweli nitoke nyumbani kwenda kwa mtu nikiwa sina hata mia kweli[emoji1787]
Mama we Leta maringo tuu...😅😅kama Hujaanza kwenda na club ..kuna vitu va kupewa kipaumbele madam
 
Aisee mimi hakuna kitu nachukia kama kuoga na nkilala bila kuoga sipati usingizi,
Naweza kaa hata masaa mawili najifikiria naanzaje kuoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…