zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Labda yeye tu aniyeyushe asije nyumbani[emoji23].Sindoapo sasa...halafu ulete miyeyusho
Mhm!kwani hujaona uko kadada kokote kenye age kama yangu ukaambie kuna kajamaa kapole hapa JF[emoji4]Pole
MaishaaOngeza 10 hapo
Nina madada wengi huwa nawapelekea makwaoPole jirani..tafuta msaidizi tu
Dah!hajazaliwa jamani sasa siku anazaliwa ntaijuaje jamani nataka niwepo kwenye birthday yakeKijana kwa umri ulionao..mpenzi wako bado hajazaliwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Namtoa wapi Sasa[emoji1787][emoji134]Ndo uchakarike sasa uache kukaza hiyo shingo ..
Huyo yuko dabo kitamboWeeeee kumbeeee....aise hebu pambana na hawa waliosingali[emoji28][emoji28]