Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
🤣🤣🤣Atakipata wapi? 🤔
Utakipata tu😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Atakipata wapi? 🤔
Sema suu🤣🤣🤣
Utakipata tu😉
Umeanza🤣Sema suu
____
Ila mama mtumishi uliupiga mwingi sana kwenye huu uzi....sina shaka pale kwa Kasim Majaliwa 'palizizima' this day
Kumbukumbu zangu zinanionesha nilikuja hapo kwa Kasim, nikakutana na padlock.Umeanza🤣
🤣🤣🤣🤣🤣sasa mbona hukuniambia jamani😂Kumbukumbu zangu zinanionesha nilikuja hapo kwa Kasim, nikakutana na padlock.
Nilikakasirika nusu niku report kwa mods
Ndo nimekuambia hivi. Naweza kumtembelea ndugu Majaliwa sasa? 😉🤣🤣🤣🤣🤣sasa mbona hukuniambia jamani😂
Ngoja dada mkubwa Chakorii atoe ruhusaNdo nimekuambia hivi. Naweza kumtembelea ndugu Majaliwa sasa? 😉
Subiri aje uone anavyotiririka hapa purukushani za malastborn🤣🤣Ooh, bask ni fair kusema hili limeisha.
Chakorii ni mtu wangu wa nguvu sana mno...
Tena anaweza hata kuning'ata sikio na tips kadhaa za 'kumvaa' mtakatifu
Comment Yangu ya kwanza kwenye huu uzi nilisema naogopa kuandika maana nitaonekana mtu wa ajabu, nisivyovipenda ndivyo wengi hupenda.Aisee huyu Saint Anne hapendi kila kitu, hiyo ni changamoto, pengine kwenye afya ya akili
Mungu akusaidieComment Yangu ya kwanza kwenye huu uzi nilisema naogopa kuandika maana nitaonekana mtu wa ajabu, nisivyovipenda ndivyo wengi hupenda.
Nimejipanga kweri kweri kupurukushana na last bornSubiri aje uone anavyotiririka hapa purukushani za malastborn🤣🤣
Amen mkuu japo najiona sawa tu na naenjoy maisha.Mungu akusaidie
Anavyopenda kudeka huyu last born😝Nimejipanga kweri kweri kupurukushana na last born
Unajua ata watu wenye utindio wa ubongo wana enjoy maisha, fanyia kaziAmen mkuu japo najiona sawa tu na naenjoy maisha.
Khaaaa😂😂😂Unajua ata watu wenye utindio wa ubongo wana enjoy maisha, fanyia kazi
Yote kwa yote nimejipanga. Wakulima wenzangu wa mboga mboga akina bia yetu watani supportAnavyopenda kudeka huyu last born😝
Umeanza tena baba😂😂Yote kwa yote nimejipanga. Wakulima wenzangu wa mboga mboga akina bia yetu watani support
Si maanishi kitu mkuu, ata mkuu mstaafu wa ule muhimili, alikua na file Mirembe, kwa nia njema tuKhaaaa😂😂😂
Mkuu unataka kumaanisha nini kwa mfano?🤣🤣🤣
😂🙌🙌🙌🙌Si maanishi kitu mkuu, ata mkuu mstaafu wa ule muhimili, alikua na file Mirembe, kwa nia njema tu