zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
. Chakorii [emoji23][emoji23][emoji23]Jizazi okoa kizazi..vizuri mkuu kama hupendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. Chakorii [emoji23][emoji23][emoji23]Jizazi okoa kizazi..vizuri mkuu kama hupendi
Nina zawadi yako niitume PM au hapa hapaNiambie kijana
Eeh kila mtu aione sipendagi misifa kabisa na kujiproud[emoji6]Tuma hapa hapa mdogo wangu
Do you promise me really [emoji7][emoji7][emoji847][emoji847]Au Baki nayo nitakuja kuichukua nyumbani kwenu
Sasa girlfriend sina.kijana hujanilipia ada ujue
Amen MtumishiKosa vyote ubakiwe na huruma ya Mungu tu
Unaweza tafuta kazi zinazoendana na personality yako ukaendelea kuenjoy maisha....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila kukaa nyumbani kumenikinga na mengi sana...yaani huwa nawaza kama ningekuwa mzururaji huenda ningekuwa nishaharibika kitambo.
Japo muda wa kuzurura kutafuta hela umefika
Akhsante kwa kunipa wazo zuriUnaweza tafuta kazi zinazoendana na personality yako ukaendelea kuenjoy maisha....
mfano:virtual assistant,ethical hacking,full stack developer na greenhouse and vertical farming unazalisha mbogamboga mchicha,chinese etc na maisha yanaenda 🙂
Asili yako ni uchafu mkuu. Maana hakuna namnaHabari za mchana watu wangu wa nguvu..ni matumain yangu nyote mko salama na mnaendelea kuimalizia jumapili mwanana kabisa...[emoji3344][emoji3344]
Maisha ni mafupi bhana waaaahiii..[emoji28][emoji28]tujifurahishe tu hakuna namna[emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Huo ulikuwa ni utangulizi tu [emoji28][emoji28]ngoja nirudi kwenye uzi sasa[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Aiseh hakuna kitu sipendi kama kuswaki,kuvaa kyupi[emoji85]kuvua na kuvaa nguo[emoji1787][emoji1787]ila nakuwa Sina namna. Mengine nitaendelea kuyakumbuka kadri mda unavyoenda[emoji28][emoji28][emoji28].
Karibu na wewe ushee nasi ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yako ya kila siku lakini unakuwa huna namna[emoji16][emoji16]
Karibuni wapendwa [emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Umeelezea Vizuri sana mkuu..unaoffer yangu aiseh..
Anza na [emoji1635]
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji7]Hadi nimesisimuka niliposoma comment hii.
Kweli hakuna haja ya kubadilika vibaya kama ananitreat vizuri
Hata asiponipa right treatment sibadiliki
Mwanaume utakayekuja jua tu kuwa nikikupenda sikuachi ng'oo,fanya ujinga wote tutanyooshana tu[emoji23]
May the blessings of God flow upon you all the days of your life and let it be so in Jesus nameUbarikiwe sana mtumishi mwenzangu