Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Unanifahamia wapi?Nilikuwa na tease tu, nakufahamu mrembo ulivyo slim kama Nandy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanifahamia wapi?Nilikuwa na tease tu, nakufahamu mrembo ulivyo slim kama Nandy
Nilikuacha Udom mwaka mmoja nyumaUnanifahamia wapi?
[emoji848]Nilikuacha Udom mwaka mmoja nyuma
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Hadi wewe jirani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeamua tu kuridhika maana kila nikiongezeka kidogo stress zikinipitia kgs zote nilizoongeza zinapukutikaWacha wee
Alaf ndo tarehe zenyewe izi location ni cheka ung'atwe [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] njoo dm upate location fasta hahahahaNipe lokesheni..
Ila na wewe bakiza kidogo loh[emoji2957][emoji2957]
Kako below 25 still makudeka 🤣🤣🤣Yani huyu akishindwa kucheza na muda aisee.. hhiiiiiiiii...
Nashiriki shughuli zote za muhimu hasa zile za changamoto..huwezi nikosaHapendi ushirikiano na binadamu huyo yfu2bi
[emoji134]Yani huyu akishindwa kucheza na muda aisee.. hhiiiiiiiii...
Niko kwenye 30'sK
Kako below 25 still makudeka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mahari ni sh. Ngapi?Nashiriki shughuli zote za muhimu hasa zile za changamoto..huwezi nikosa
Ila kwenye sherehe hapana kwa kweli na Mimi Sina mpango wa kufanya sherehe,hata Kama nikifanyiwa basi wakawepo ndugu tu!
Natamani ndoa yangu ije kuwa tu ya kawaida,tukitoka kanisani basi tuende nyumbani.
Hamna mtu wa 30's hapo! Walioko huko hawana relaxation ya hivyo ati sijui dreams n blaa blaa 😂! Muda ukifika utakuwa unashinda kwa page ya McGarab hata jf itakuwa chungu.Niko kwenye 30's
Siku ukijua kuwa mahitaji hubadilika na nyakati basi huwezi kuji commit kwa kila kitu unachowaza sasa.Nashiriki shughuli zote za muhimu hasa zile za changamoto..huwezi nikosa
Ila kwenye sherehe hapana kwa kweli na Mimi Sina mpango wa kufanya sherehe,hata Kama nikifanyiwa basi wakawepo ndugu tu!
Natamani ndoa yangu ije kuwa tu ya kawaida,tukitoka kanisani basi tuende nyumbani.
Mkuu najua kuogelea maji hayatanipeleka. Hivi juzi juzi Utepe nimekata mwenyewe akiona mazingira mazuri anataka. Halaf ana heshima sana.😅😅😅😅utakwenda na maji mkuu
YahSiku ukijua kuwa mahitaji hubadilika na nyakati basi huwezi kuji commit kwa kila kitu unachowaza sasa.
Inahusu nini hiyo page?Hamna mtu wa 30's hapo! Walioko huko hawana relaxation ya hivyo ati sijui dreams n blaa blaa [emoji23]! Muda ukifika utakuwa unashinda kwa page ya McGarab hata jf itakuwa chungu.