Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Usiwe unafua uwe unanua nguo mpya kila baada ya siku ili uonekane nadhifu ile ya kwanza ikichafuka[emoji4]
Hahaha nguo mpya kwa hela ipi lol
huwa nafuliwa muda mwingine
Ila nikipewa kuchagua ningeiaga hii kazi mazima.,
 
Mkuu najua kuogelea maji hayatanipeleka. Hivi juzi juzi Utepe nimekata mwenyewe akiona mazingira mazuri anataka. Halaf ana heshima sana.
Ni beki tatu wa familia ya nyumbani kwenu..au wa nyumbani kwako wewe na mkeo..Tuanzie hapo kwanza
 
Alaf ndo tarehe zenyewe izi location ni cheka ung'atwe [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] njoo dm upate location fasta hahahaha
Ingekuwa lokesheni ni Gusa unaseee...fasta ningeibuka pm mkuu..ila ni cheka ung’atwee...😃😃hapana ng’watwa mwenyewe tu hakuna namna
 
Back
Top Bottom