Ni kitu gani ambacho kilikufanya uwe addicted nacho?

Ni kitu gani ambacho kilikufanya uwe addicted nacho?

Sawa kabisa, huwezi kutaja kitu kilichokufanya bila kutaja ukawa na uraibu wa kitu gani. Sasa mapungufu yanakuja kutaja uraibu wa kitu bila kutaja sababu za kuwa na uraibu wa kitu hicho.

Yaani swwali lingeweza kuwa "wewe ni mraibu wa kitu gani". Then simple, mraibu wa a,b,c,d...

Lakini pia swali laweza kuwa, wewe ni mraibu wa kitu gani na nini kilikufanya uwe mraibu wa hicho kitu. Nimeiona thread katika taswira hii.
Uko sahihi
 
Itakudhiru ni suala la mda. Acha taratibu. Bora uwe na michepuko kuliko hio kitu.
Ipo siku dudu lako litakuwa zembe mbele ya demu kama malaika na nyashi yote ile dudu haliamk.
Tune your mind.
Kuacha sigara ni ngumu kuliko kuacha punyeto ila watu tumeacha sembuse master b.
Mkuu ulitumia njia gani kuacha sigara?
 
Niliweza kuacha sigara wewe unashindwaje punyeto. Sigara ni kemikali wakati punyeto ni ashki au nyege ambazo unaweza kuzi direct kwenye uchi wa mwanamke.
Hamu ya sigara una direct wapi ?
Nipe mbinu ya kuacha fegi kaka maana nilivyoanza na nilivyoendelea na kuacha imekua shida kinachoniumiza siwezi kuvuta hadharani ila nikitulia ndani unaweza dhani natumia jiko la kuni
 
Mimi sina addiction ya kitu chochote naamini kadri unavyokuwa vitu unapunguza ,kama wewe umeanza second edition ya playstation ila Mimi nimeanza edition one playstation one cartoon,Sega game, na nimecheza Hadi edition 4 ya ps lakini nishakuwa mtu mzima I don't need to play video games
 
I miss it bamboo juice itende kwa bibi,unatoka mishemishe zimebuma jua kaliiii unapita kwa bibi anakupokea kwa ulanzi bariiiidi jagi zima anakupa na mahindi mawili ya kuchemsha ushushie kwa nini usiupende ulanzi?
kudos
 
I miss it bamboo juice itende kwa bibi,unatoka mishemishe zimebuma jua kaliiii unapita kwa bibi anakupokea kwa ulanzi bariiiidi jagi zima anakupa na mahindi mawili ya kuchemsha ushushie kwa nini usiupende ulanzi?
😁😁
 
Back
Top Bottom