Ni kitu gani ambacho kilikufanya uwe addicted nacho?

Ni kitu gani ambacho kilikufanya uwe addicted nacho?

Mi nadhani waliojibu wako sahihi, Hata wewe pia huenda ukawa sahihi.

Mkuu ameuliza : Ni kitu gani kilichokufanya uwe addicted nacho?

Swali limelenga "Vitu" au "Mambo" sio cause ya hivyo "Vitu" au "Mambo".

Hili swali linaweza kujibiwa katika namna tofauti, mfano;

•Vitu vya kawaida: Chakula, vinywaji, au michezo.

Tabia: Kuangalia televisheni, mitandao ya kijamii, Video za ngono au kucheza michezo ya video.

Vitu vya hatari: Dawa za kulevya, pombe, au sigara.


Swali hili siyo tu linataka kujua chanzo cha uraibu, bali pia linataka kuangazia jinsi ulivyojikuta ukihusiana na jambo hilo, ni kwa kiwango gani limeathiri maisha yako, au sababu ya kuendelea kulifanya.
Umefafanua vizuri mkuu
 
Itakudhiru ni suala la mda. Acha taratibu. Bora uwe na michepuko kuliko hio kitu.
Ipo siku dudu lako litakuwa zembe mbele ya demu kama malaika na nyashi yote ile dudu haliamk.
Tune your mind.
Kuacha sigara ni ngumu kuliko kuacha punyeto ila watu tumeacha sembuse master b.
Kuacha nyeto ni kipaji mkuu kama vipaji vingine
 
Yaani swwali lingeweza kuwa "wewe ni mraibu wa kitu gani". Then simple, mraibu wa a,b,c,d...

Lakini pia swali laweza kuwa, wewe ni mraibu wa kitu gani na nini kilikufanya uwe mraibu wa hicho kitu. Nimeiona thread katika taswira hii.
Sahihi, ingependeza kama angetumia huu muongozo.
 
Kabliya subh na witr.. nilianza kama utani lakini mpka sasa nimekuwa mraibu.
 
Wakuu ni kitu gani ambacho ulikianza kama utani lakini leo hii imegeuka kuwa uraibu kwako yani huwezi kukaa bila kufanya hicho kitu.

Kwangu mimi ni kucheza games(play station). Nakumbuka kipindi naanza form 1 miaka ya 2008 huko kanda ya ziwa ilikua tukienda town weekend tunakutana na video games enzi hizo ps2 iko 🔥, basi muda wangu mwingi nilikua naupoteza huko. Hadi leo hii nimekua mraibu wa games yani haipiti siku bila kucheza.

Je, ni kitu gani ambacho kilikufanya uwe addicted maishani mwako?
Video za kufurahisha macho
 
Haya mambo ya uraibu ukimweleza mtu anaweza asikuelewe. Maana gari likishawaka unaona siku haitimii bila hicho kitu.

Mi uraibu wangu ni uko ndani ya Nifah

Ova
Haya mambo ndio maana yanaua, mimi si unaona nimekukeshea b…?

Nakupenda mno! Gari limewaka, liko katika mteremko na breki zimekufa!
 
Kununua mademu sababu kila demu niliyekuwa namsalandia anaruka nikaona hapa ntakufa na genyee
 
Mitandao ya kijamii (Twitter x) Jamii forum na movie , sababu iliyopelekea kuwa na hizo addiction ni kwakuwa muda mwingi huwa napenda kukaa peke yangu so nikikosa hivyo vitu nakuwa nipo sober though naanza kuwa over thinker, so ili kumaintain Hiyo Hali ndio nimekuwa addicted Sana , Nikikosa bundle Nahisi uchizi
 
Back
Top Bottom