Ni kitu gani ambacho kilikufanya uwe addicted nacho?

Ni kitu gani ambacho kilikufanya uwe addicted nacho?

Watanzania bwana tuna tatizo sana la kuelewa maandishi, ndio maana tunaletewa mikataba ya bandari ya kuuza nchi na tunaingia kichwa kichwa.

Umeuliza ni kitu gani kilikufanya uwe addicted. Wewe umejieleza vizuri sana, nini kilikufanya uwe addicted na games - mlikuwa mkienda mahali fulani na mnakutana na games na muda mwingi unaupoteza huko.

Sasa angalia wanaokujibu. Ni kitu gani kilikufanya uwe addicted - mtu anajibu ni Pepsi, Punyeto, Cars, JF!

Nikiwa mwalimu wote hao nawapa 0%, hawajajibu swali! Au wewe Mkuu ndie umeuliza swali vibaya? Sidhani, maana swali lako mwenyewe umelijibu vizuri sana katika issue ya "cause and effect". Ulichouliza ni "cause", watu wanakujibu "effect"
Nitoe mifano;
  • Wa Pepsi labda angesema niliishi sehemu hakuna maji safi ya kunywa, ikawa kinywaji ni Pepsi tu, nikawa nakunywa Pepsi kila siku. Nikawa addicted na Pespi
  • Wa Punyeto angesema mke wangu alikuwa akisafiri kila wakati, sasa nikawa nina mmiss na kuona Punyeto ni mbadala, nikajikuta addicted hata akiwepo
  • wa cars angesema nilikuwa na jirani anapenda magari kila tukikutana yeyey ni story za magari na uzuri wa magari, mara nyingine akinitoa for a ride na garri zake - nikawa addicted
  • Wa JF angesema nilianza kwa kusoma story za Tundu Lissu tu alipopigwa risasi, nikajikuta naingia story za Mwajuma kafumaniwa, baada ya muda nikawa siwezi kupitisha saa bila kutupia jicho JF
Umeona basi jinsi wa TZ tusivyoelewa maandishi? Hata Mawaziri, wanasheria, Wabunge nk, nimeona wana tatizo hili, ndio maana mikataba kama ya bandari wanakomalia bila kuelewa, uraia pacha wanapinga bila kuelewa nk
Mi nadhani waliojibu wako sahihi, Hata wewe pia huenda ukawa sahihi.

Mkuu ameuliza : Ni kitu gani kilichokufanya uwe addicted nacho?

Swali limelenga "Vitu" au "Mambo" sio cause ya hivyo "Vitu" au "Mambo".

Hili swali linaweza kujibiwa katika namna tofauti, mfano;

•Vitu vya kawaida: Chakula, vinywaji, au michezo.

•Tabia: Kuangalia televisheni, mitandao ya kijamii, Video za ngono au kucheza michezo ya video.

•Vitu vya hatari: Dawa za kulevya, pombe, au sigara.


Swali hili siyo tu linataka kujua chanzo cha uraibu, bali pia linataka kuangazia jinsi ulivyojikuta ukihusiana na jambo hilo, ni kwa kiwango gani limeathiri maisha yako, au sababu ya kuendelea kulifanya.
 
Mi nadhani waliojibu wako sahihi, Hata wewe pia uko sahihi.

Mkuu ameuliza : Ni kitu gani kilichokufanya uwe addicted nacho?
Swali limelenga "Vitu", yaani ni sawa ameuliza: "Ulianza kutumia au kufanya kitu gani mpaka baadaye ikawa ngumu kukiacha"?.

Hili swali linaweza kujibiwa katika namna tofauti, mfano;

•Vitu vya kawaida: Chakula, vinywaji, au - michezo.

•Tabia: Kuangalia televisheni, mitandao ya
kijamii, Video za ngono au kucheza
michezo ya video.

•Vitu vya hatari: Dawa za kulevya, pombe, au
sigara.
Kama unataka kubishana kwamba swali hilo halijaegemea tu kwenye upande wa "cause" (sababu), unaweza kusema kuwa linaweza pia kuhusisha athari (effects) au uzoefu wa mtu binafsi na kitu hicho.


Swali hili siyo tu linataka kujua chanzo cha uraibu, bali pia linataka kuangazia jinsi ulivyojikuta ukihusiana na jambo hilo, ni kwa kiwango gani limeathiri maisha yako, au sababu ya kuendelea kulifanya.
Ma brother.. Uzi bado
 
Mi nadhani waliojibu wako sahihi, Hata wewe pia uko sahihi.

Mkuu ameuliza : Ni kitu gani kilichokufanya uwe addicted nacho?

Swali limelenga "Vitu" au "Mambo".

Hili swali linaweza kujibiwa katika namna tofauti, mfano;

•Vitu vya kawaida: Chakula, vinywaji, au michezo.

•Tabia: Kuangalia televisheni, mitandao ya kijamii, Video za ngono au kucheza michezo ya video.

•Vitu vya hatari: Dawa za kulevya, pombe, au sigara.


Swali hili siyo tu linataka kujua chanzo cha uraibu, bali pia linataka kuangazia jinsi ulivyojikuta ukihusiana na jambo hilo, ni kwa kiwango gani limeathiri maisha yako, au sababu ya kuendelea kulifanya.
Sawa kabisa, huwezi kutaja kitu kilichokufanya bila kutaja ukawa na uraibu wa kitu gani. Sasa mapungufu yanakuja kutaja uraibu wa kitu bila kutaja sababu za kuwa na uraibu wa kitu hicho.

Yaani swwali lingeweza kuwa "wewe ni mraibu wa kitu gani". Then simple, mraibu wa a,b,c,d...

Lakini pia swali laweza kuwa, wewe ni mraibu wa kitu gani na nini kilikufanya uwe mraibu wa hicho kitu. Nimeiona thread katika taswira hii.
 
Watanzania bwana tuna tatizo sana la kuelewa maandishi, ndio maana tunaletewa mikataba ya bandari ya kuuza nchi na tunaingia kichwa kichwa.

Umeuliza ni kitu gani kilikufanya uwe addicted. Wewe umejieleza vizuri sana, nini kilikufanya uwe addicted na games - mlikuwa mkienda mahali fulani na mnakutana na games na muda mwingi unaupoteza huko.

Sasa angalia wanaokujibu. Ni kitu gani kilikufanya uwe addicted - mtu anajibu ni Pepsi, Punyeto, Cars, JF!

Nikiwa mwalimu wote hao nawapa 0%, hawajajibu swali! Au wewe Mkuu ndie umeuliza swali vibaya? Sidhani, maana swali lako mwenyewe umelijibu vizuri sana katika issue ya "cause and effect". Ulichouliza ni "cause", watu wanakujibu "effect"
Nitoe mifano;
  • Wa Pepsi labda angesema niliishi sehemu hakuna maji safi ya kunywa, ikawa kinywaji ni Pepsi tu, nikawa nakunywa Pepsi kila siku. Nikawa addicted na Pespi
  • Wa Punyeto angesema mke wangu alikuwa akisafiri kila wakati, sasa nikawa nina mmiss na kuona Punyeto ni mbadala, nikajikuta addicted hata akiwepo
  • wa cars angesema nilikuwa na jirani anapenda magari kila tukikutana yeyey ni story za magari na uzuri wa magari, mara nyingine akinitoa for a ride na garri zake - nikawa addicted
  • Wa JF angesema nilianza kwa kusoma story za Tundu Lissu tu alipopigwa risasi, nikajikuta naingia story za Mwajuma kafumaniwa, baada ya muda nikawa siwezi kupitisha saa bila kutupia jicho JF
Umeona basi jinsi wa TZ tusivyoelewa maandishi? Hata Mawaziri, wanasheria, Wabunge nk, nimeona wana tatizo hili, ndio maana mikataba kama ya bandari wanakomalia bila kuelewa, uraia pacha wanapinga bila kuelewa nk
Ni kwel,watz wengi wana tatzo kwenye kujibu maswali huwa wanajibu tofaut na walivyoulizwa,fatilia hata interviews mbalimbali kwenye vyombo vya habar hii itaiona hasa hasa wale wanaojiita afisa mahusiano
 
Watanzania bwana tuna tatizo sana la kuelewa maandishi, ndio maana tunaletewa mikataba ya bandari ya kuuza nchi na tunaingia kichwa kichwa.

Umeuliza ni kitu gani kilikufanya uwe addicted. Wewe umejieleza vizuri sana, nini kilikufanya uwe addicted na games - mlikuwa mkienda mahali fulani na mnakutana na games na muda mwingi unaupoteza huko.

Sasa angalia wanaokujibu. Ni kitu gani kilikufanya uwe addicted - mtu anajibu ni Pepsi, Punyeto, Cars, JF!

Nikiwa mwalimu wote hao nawapa 0%, hawajajibu swali! Au wewe Mkuu ndie umeuliza swali vibaya? Sidhani, maana swali lako mwenyewe umelijibu vizuri sana katika issue ya "cause and effect". Ulichouliza ni "cause", watu wanakujibu "effect"
Nitoe mifano;
  • Wa Pepsi labda angesema niliishi sehemu hakuna maji safi ya kunywa, ikawa kinywaji ni Pepsi tu, nikawa nakunywa Pepsi kila siku. Nikawa addicted na Pespi
  • Wa Punyeto angesema mke wangu alikuwa akisafiri kila wakati, sasa nikawa nina mmiss na kuona Punyeto ni mbadala, nikajikuta addicted hata akiwepo
  • wa cars angesema nilikuwa na jirani anapenda magari kila tukikutana yeyey ni story za magari na uzuri wa magari, mara nyingine akinitoa for a ride na garri zake - nikawa addicted
  • Wa JF angesema nilianza kwa kusoma story za Tundu Lissu tu alipopigwa risasi, nikajikuta naingia story za Mwajuma kafumaniwa, baada ya muda nikawa siwezi kupitisha saa bila kutupia jicho JF
Umeona basi jinsi wa TZ tusivyoelewa maandishi? Hata Mawaziri, wanasheria, Wabunge nk, nimeona wana tatizo hili, ndio maana mikataba kama ya bandari wanakomalia bila kuelewa, uraia pacha wanapinga bila kuelewa nk
Hii argument yako ingekuwa sahihi kama OP angeuliza specifically "Kitu gani kilipelekea ukawa addicted?" Hapo swali lipo clear kwamba linahitaji "cause" haijalishi context ya "effect" ni kitu gani.

Lakini OP ameuliza "Kitu gani kilikufanya uwe addicted nacho?" Hapo clearly objective ni "addiction" au swali ni kitu kilichokupa hiyo hali ya "addiction" au context ya "effect" na sio "cause."

Ironic, isn't it?
 
Wakuu ni kitu gani ambacho ulikianza kama utani lakini leo hii imegeuka kuwa uraibu kwako yani huwezi kukaa bila kufanya hicho kitu.

Kwangu mimi ni kucheza games(play station). Nakumbuka kipindi naanza form 1 miaka ya 2008 huko kanda ya ziwa ilikua tukienda town weekend tunakutana na video games enzi hizo ps2 iko šŸ”„, basi muda wangu mwingi nilikua naupoteza huko. Hadi leo hii nimekua mraibu wa games yani haipiti siku bila kucheza.

Je, ni kitu gani ambacho kilikufanya uwe addicted maishani mwako?
Haya mambo ya uraibu ukimweleza mtu anaweza asikuelewe. Maana gari likishawaka unaona siku haitimii bila hicho kitu.

Mi uraibu wangu ni uko ndani ya Nifah

Ova
 
Punyeto. Nina mke na watoto wa4. Nalala na mke wangu kila siku. Ila master lazima mazee...hii ni zaidi ya addiction ya unga na kubet.
Itakudhiru ni suala la mda. Acha taratibu. Bora uwe na michepuko kuliko hio kitu.
Ipo siku dudu lako litakuwa zembe mbele ya demu kama malaika na nyashi yote ile dudu haliamk.
Tune your mind.
Kuacha sigara ni ngumu kuliko kuacha punyeto ila watu tumeacha sembuse master b.
 
Back
Top Bottom