didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Kuchapa mbususu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BothFootball kucheza au kuangalia
HahahaBasi sawa na mimi nilihisi huwa Maghayo anavuta bangi halafu anakuja tupia madini humu na mimi nikavutiwa na bangi sasa nipo addicted. Au nimekosea?
Sawa, Safari hii itakua balaa zito.Fanya kitu bhn mshua tupunguze kiu 😂
MekuHahaha
Jaribu hiyo mzeya ila shida yake huwezi nyetuka usiku wa manane maana mie sina microwave ya kupasha mlenda.Ila mwanangu wewe umenizidi😂
Zee la mlenda vuguvugu🤣🤣Jaribu hiyo mzeya ila shida yake huwezi nyetuka usiku wa manane maana mie sina microwave ya kupasha mlenda.
Ila 2025 lazima nipate microwave
Watanzania bwana tuna tatizo sana la kuelewa maandishi, ndio maana tunaletewa mikataba ya bandari ya kuuza nchi na tunaingia kichwa kichwa.
Umeuliza ni kitu gani kilikufanya uwe addicted. Wewe umejieleza vizuri sana, nini kilikufanya uwe addicted na games - mlikuwa mkienda mahali fulani na mnakutana na games na muda mwingi unaupoteza huko.
Sasa angalia wanaokujibu. Ni kitu gani kilikufanya uwe addicted - mtu anajibu ni Pepsi, Punyeto, Cars, JF!
Nikiwa mwalimu wote hao nawapa 0%, hawajajibu swali! Au wewe Mkuu ndie umeuliza swali vibaya? Sidhani, maana swali lako mwenyewe umelijibu vizuri sana katika issue ya "cause and effect". Ulichouliza ni "cause", watu wanakujibu "effect"
Nitoe mifano;
Umeona basi jinsi wa TZ tusivyoelewa maandishi? Hata Mawaziri, wanasheria, Wabunge nk, nimeona wana tatizo hili, ndio maana mikataba kama ya bandari wanakomalia bila kuelewa, uraia pacha wanapinga bila kuelewa nk
- Wa Pepsi labda angesema niliishi sehemu hakuna maji safi ya kunywa, ikawa kinywaji ni Pepsi tu, nikawa nakunywa Pepsi kila siku. Nikawa addicted na Pespi
- Wa Punyeto angesema mke wangu alikuwa akisafiri kila wakati, sasa nikawa nina mmiss na kuona Punyeto ni mbadala, nikajikuta addicted hata akiwepo
- wa cars angesema nilikuwa na jirani anapenda magari kila tukikutana yeyey ni story za magari na uzuri wa magari, mara nyingine akinitoa for a ride na garri zake - nikawa addicted
- Wa JF angesema nilianza kwa kusoma story za Tundu Lissu tu alipopigwa risasi, nikajikuta naingia story za Mwajuma kafumaniwa, baada ya muda nikawa siwezi kupitisha saa bila kutupia jicho JF
Mlenda oyeeeeZee la mlenda vuguvugu🤣🤣
Ya kutolea unaisikia hapa jf kwa wanaume wapumbavuPuli, i really love it! Hakuna kutuma na yakutolea.
Naam😂unateleza tu pyu
NaamYa kutolea unaisikia hapa jf kwa wanaume wapumbavu