Ni kitu gani ambacho kilikufanya uwe addicted nacho?

Uko sahihi
 
Mkuu ulitumia njia gani kuacha sigara?
 
Niliweza kuacha sigara wewe unashindwaje punyeto. Sigara ni kemikali wakati punyeto ni ashki au nyege ambazo unaweza kuzi direct kwenye uchi wa mwanamke.
Hamu ya sigara una direct wapi ?
Nipe mbinu ya kuacha fegi kaka maana nilivyoanza na nilivyoendelea na kuacha imekua shida kinachoniumiza siwezi kuvuta hadharani ila nikitulia ndani unaweza dhani natumia jiko la kuni
 
Mimi sina addiction ya kitu chochote naamini kadri unavyokuwa vitu unapunguza ,kama wewe umeanza second edition ya playstation ila Mimi nimeanza edition one playstation one cartoon,Sega game, na nimecheza Hadi edition 4 ya ps lakini nishakuwa mtu mzima I don't need to play video games
 
I miss it bamboo juice itende kwa bibi,unatoka mishemishe zimebuma jua kaliiii unapita kwa bibi anakupokea kwa ulanzi bariiiidi jagi zima anakupa na mahindi mawili ya kuchemsha ushushie kwa nini usiupende ulanzi?
kudos
 
I miss it bamboo juice itende kwa bibi,unatoka mishemishe zimebuma jua kaliiii unapita kwa bibi anakupokea kwa ulanzi bariiiidi jagi zima anakupa na mahindi mawili ya kuchemsha ushushie kwa nini usiupende ulanzi?
😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…