unasema uliruka kama ninja...Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
Huyo ndo ninja LusajoHahahaaaaaa!!! Thanks hun, yaani nimecheka!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka mpaka nimepaliwa aiseeSimu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
Hahha nkamu ukihisi vitu huvielewielewi kwenye begi lako niite. NimesomeaHuyo ndo ninja Lusajo
Mmmh aisee sikutegemea kucheka hivi leo. I can imagine ulivyokuwa unashusha fimbo sijui gongo kwa nyoka tena kwa nguvu zoteee, heshima yako ninjaHahha nkamu ukihisi vitu huvielewielewi kwenye begi lako niite. Nimesomea
Hahahaaaaaa!!! Thanks hun, yaani nimecheka!!!
Huyo ndo ninja Lusajo
Hahahahah. Sipati picha simu ingevibrate ikiwa ipo kwenye mfuko wa suruali mmhHalafu nime imagine baada ya Ninja kuruka akalifanyia bag sign ya karate. [emoji123]
heeeeeeeeeeeee!!!!!Cku ya kwanza kunyonywa koni yaan raha zake mpk kitu cha yusufuuuf
Hahahahah. Sipati picha simu ingevibrate ikiwa ipo kwenye mfuko wa suruali mmh
Pacha...[emoji23][emoji23][emoji23]Mungu nsamehe ila siku ya kwanza kufunuliwa uchi na mwanamke na kuniruhusu niweke kidude changu...nlisikia jotoooo na kupizi chwaap nikachanganyikiwa kwnz kwa raha kidogo nizimie.
Oyo!Ahsante charii yangu ya ara..
Huu ndio uzi wangu aisee ngoja niusevu.
Hahahaaa..Mm nakumbuka simu, da cjui mwaka gani nikaazima simu ili nimpigie mtu, sasa nikaaandika number vizuri sikuweza kujua kama una press wapi nikaweka kunako sikio, basi nimeganda nayo mpka mwenye simu akashangaaa
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Mungu nsamehe ila siku ya kwanza kufunuliwa uchi na mwanamke na kuniruhusu niweke kidude changu...nlisikia jotoooo na kupizi chwaap nikachanganyikiwa kwnz kwa raha kidogo nizimie.
Ungemwambia na yy akupigie Airtel[emoji23] [emoji23] [emoji23]Baada ya kupiga voda nkakosea nkapiga tigo