Ni kitu gani ambacho kinakufanya usiende nyumbani kwenu japo unapamiss sana

Ni kitu gani ambacho kinakufanya usiende nyumbani kwenu japo unapamiss sana

Mkuu ugumu wa maisha kila mtu ana pitia hilo, japo tuna tofautiana hali, ngazi na mazingira tu.

hata Kama una elfu 10, just go home hommie.
familia Ina unganishwa kwa upendo na umoja.

japo pesa ni muhimu ila bila familia hiyo siyo kitu.
ni kheri nishindie ugali na msusa ila as long as niko na familia yetu.
 
Nakutamkia mema na baraka

Njia za mafanikio kwenye kazi, uchumi vifunguke,

Ukutane na mtu sahihi wa kukushika mkono!

Usiache kujitamkia mema, na baraka binafsi kila unapoamka na kulala!

Unachokifanya tia bidii,

Wakumbuke wazazi wako, ukipata sadaka wasaidie hasa wahitaji

Amini
Amina
 
Mkuu ugumu wa maisha kila mtu ana pitia hilo, japo tuna tofautiana hali, ngazi na mazingira tu.

hata Kama una elfu 10, just go home hommie.
familia Ina unganishwa kwa upendo na umoja.

japo pesa ni muhimu ila bila familia hiyo siyo kitu.
ni kheri nishindie ugali na msusa ila as long as niko na familia yetu.
Wee jamaa kwel motivational speaker
 
Nakutamkia mema na baraka

Njia za mafanikio kwenye kazi, uchumi vifunguke,

Ukutane na mtu sahihi wa kukushika mkono!

Usiache kujitamkia mema, na baraka binafsi kila unapoamka na kulala!

Unachokifanya tia bidii,

Wakumbuke wazazi wako, ukipata sadaka wasaidie hasa wahitaji

Amini
Madini Sanaa 😊
 
Mkuu ugumu wa maisha kila mtu ana pitia hilo, japo tuna tofautiana hali, ngazi na mazingira tu.

hata Kama una elfu 10, just go home hommie.
familia Ina unganishwa kwa upendo na umoja.

japo pesa ni muhimu ila bila familia hiyo siyo kitu.
ni kheri nishindie ugali na msusa ila as long as niko na familia yetu.
Madini Sana mkuu 😊
 
I was born in Tanga. I'm currently working and living in Tanga . I will die in Tanga .

Nilikuwa Dar nikafanya vitimbi mpaka nikarudi kwetu , napenda kwetu miaka yote .
Safi..hata ID yako inasadifu uyasemayo
 
Nilipata offer ya kukaa ofisi za kikanda zenye pesa kidogo ila wapi , hunipeleki Mwanza , Arusha , Dar wala Mtwara nitafia hapa hapa kwetu.
Nakubaliana na na ww.. m mwenyewe nipo mbali na nyumbani na familia pia aisee naona kila kitu tofauti
 
Mkuu ugumu wa maisha kila mtu ana pitia hilo, japo tuna tofautiana hali, ngazi na mazingira tu.

hata Kama una elfu 10, just go home hommie.
familia Ina unganishwa kwa upendo na umoja.

japo pesa ni muhimu ila bila familia hiyo siyo kitu.
ni kheri nishindie ugali na msusa ila as long as niko na familia yetu.
Jumanne tu nimeenda kijijini kuwaona wazazi bila hata sent 5 mfukoni tulifurahi tulikula na nikawaambia sina hela yoyote leo mama akazama ndani akaja na ten akaniambia utanunulia wajukuu wangu hata maji njiani si umesema huna hela. Nikaichukua nikiwa na furaha tele.

Ulicosema ni sahihi ile kufika tu nifuraha tosha na wazazi huwa wanajua kabisa ukisema huna una maanisha huna kweli kuna watoto wengine kauzu mbaya wala huwa hawakimbiliwi na wazazi hata kama uwezo wanakuzidi wewe wazazi watakukimbilia wewe kila shida yao.nina uzoefu nalo hili na huwa na fanya kama nipo pekee yangu nikiona sina namna namwambia mkubwa wetu analileta kwenye group la familia.
 
Back
Top Bottom