Ni kitu gani ambacho kinakufanya usiende nyumbani kwenu japo unapamiss sana

Ni kitu gani ambacho kinakufanya usiende nyumbani kwenu japo unapamiss sana

Get out of your comfort zone...nasikia asili ya watu wa Tanga ni wavivu! Huenda umeangukia hapo..
Hamna ukweli ,napiga kazi ni mtu wa kuamka alfajiri na kurudi 3 usiku . Tanga ambayo ukilala mpaka saa 2 asubuhi unaambiwa ni tabia mbaya ,kiufupi kasumba mbaya sana kuliko uhalisia.

Unavyoamini ni akili ya kitumwa ,kimafanikio niko mbali kidogo kuliko nilipokuwa mkoani ,kiufupi hakuna kipya mikoani. Unavyoamni watu wa Tanga ni wavivu ni sawa na wanaoamini ushirikina🤣🤣.

Kazi wanazofanya watu wa Tanga huwezi hta kidogo ,mtu anayevua usiku wa manane hauwezi kujifananisha nae..

Mimi nafanya kazi siku 7 zote za wiki kwa sababu nina title tatu kwa wakati mmoja .
 
Mkuu ugumu wa maisha kila mtu ana pitia hilo, japo tuna tofautiana hali, ngazi na mazingira tu.

hata Kama una elfu 10, just go home hommie.
familia Ina unganishwa kwa upendo na umoja.

japo pesa ni muhimu ila bila familia hiyo siyo kitu.
ni kheri nishindie ugali na msusa ila as long as niko na familia yetu.
Kuna tofauti ksti ya kwenu na familia. Kwenu ni kule ulikozaliwa. Familia ni wewe mwenza na watoto
 
Napakumbuka sana ila sijapata nafasi mambo mengi ukitaka kwenda unakutana na kipingamizi naamua kubaki uku polini
 
Back
Top Bottom