Ni kitu gani cha ajabu ambacho bila kufanya hauwezi concentrate au kuwa comfortable kwenye mambo ya msingi?

Ni kitu gani cha ajabu ambacho bila kufanya hauwezi concentrate au kuwa comfortable kwenye mambo ya msingi?

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Huu ni uzi maalumu kuelezea tuvitu twa ajabu ajabu ambavyo kila mmoja asipo vifanya vinamnyima uhuru wa kuwa comfortable kwenye mambo yake ya msingi.

Bwana bwana mimi binafasi nina kaugonjwa kangu ninako kaita"Toothpicks disease".

Kutokana na tabia yangu ya muda mrefu ya kupenda kusoma vitabu, makala na majarida mbalimbali nimejikuta katika kaugonjwa kakupenda kuweka toothpick mdomoni.

Haka katiba kamenifanya mpaka kuwa mrahibu wa Toothpicks bila kuweka toothpick mdomoni siwezi kuwa comfortable kusoma wala kufikiri vyema.

Ni makopo kwa makopo ya Toothpicks yanapukutika sio kwa ajili ya kutoa nyama kwenye meno bali kuweka meno tu mdomoni.
maxresdefault(3).jpg

Mpaka nauliza hii tabia ninayo mimi peke yangu au kuna watu wengine wanayo ?
 
Ni katabia gani kaajabu bila kukafanya hauwezi kuwa comfortable au concentrate kwenye mambo yako ya msingi ?
 
Vipo vingi

Kutana nywele... natembea na kitana muda wote
Kusikiliza mziki.... imekua kero kwa ndugu zangu muda wote niko na earphones
 
Huu ni uzi maalumu kuelezea tuvitu twa ajabu ajabu ambavyo kila mmoja asipo vifanya vinamnyima uhuru wa kuwa comfortable kwenye mambo yake ya msingi.

Bwana bwana mimi binafasi nina kaugonjwa kangu ninako kaita"Toothpicks disease".

Kutokana na tabia yangu ya muda mrefu ya kupenda kusoma vitabu, makala na majarida mbalimbali nimejikuta katika kaugonjwa kakupenda kuweka toothpick mdomoni.

Haka katiba kamenifanya mpaka kuwa mrahibu wa Toothpicks bila kuweka toothpick mdomoni siwezi kuwa comfortable kusoma wala kufikiri vyema.

Ni makopo kwa makopo ya Toothpicks yanapukutika sio kwa ajili ya kutoa nyama kwenye meno bali kuweka meno tu mdomoni.
View attachment 2750812
Mpaka nauliza hii tabia ninayo mimi peke yangu au kuna watu wengine wanayo ?
yaani nisipo kunywa chai Asubuh, ugali mchana, na wali usiku nakua nimechoka sana siwez kufanya chochote
 
kula kucha
niwe safarini, niwe kibaruani, niwe busy kufikiri, siweziacha kula kucha mpaka zinatoa damu
 
Kuimba imba...

Nyimbo za dini...

Yaani napenda sana...
 
Back
Top Bottom