Ni kitu gani cha kijinga ulichokifanya uliposhika hela nyingi kwa mara ya kwanza?

Duuh hii kali sana
 
Mmh pole sana, kiukweli binadamu wengi tuna roho mbaya na ubinafsi uliokithiri, Ila basi tu, kasahau ule wema woote uliomtendea, ur success ndo itakuwa best revenge @sweetapple
 
Mimi namshukuru mungu,mara tu baada ya kumaliza chuo nilipata kazi katika taasisi fulani ya serikali ambapo nilipata bahati ya kusimamia utekelezaji wa mradi fulani hivi wa jamii, kwa kweli mradi ule ulikuwa na hela nyingi sana tofauti na za utekelezaji husika. Ilitokea kupata fedha nyingi sana kutokana na utekelezaji wa mradi ule, ila ninachomshukuru mungu sikuwa mfujaji wa pesa ingawa starehe za hapa na pale nilikuwa hazinipiti, nilinunua kiwanja na nikaanza kujenga mjengo, kweli mpaka mradi unaisha nami nikawa nimeweza kukamilisha mjengo wangu ila nilibakiza vitu vidogo vidogo kama kupiga ceiling board. Sasa mradi umeisha ilikuwa ni ngoma kuimalizia sehemu iliyobakia kwani nilikuja gundua kuwa mishahara hii inayolipwa ni midogo sana ukizingatia na hizi extended familia zetu ndio bhasi, lkn namshukuru kwa hicho kidogo ambacho nilikipata tofauti kama ningekuwa nimekunywa pombe na kuwanunulia nguo malaya wasiokuwa na shukrani hapa duniani, mbona ningejinyonga wakati huu wa ukata aisee!!!
 
Ha haaa njoo unipe mahela
Wewe mtoto! Ungejua unavyonipa hamu! Uko serious lakini?Kama uko serious,ngoja Nimalizane kwanza na Madame B maana yeye ndie alie kwenye financial plans zilizopo. Ameniahidi kuwa sitajutia, sijui wewe unaniahidi nini?
Sema kabisa maana sisi wengine huwa hatutanii wala kutaniwa. Niahidi kitu kizuri kizuri. Hela utapata, kwa hilo usihofu.
 

Uwiii nimeghairi bana... Sina cha kukuahidi mie
 
Hahahahaaa ndo mwachane na wizi..
Usinicheke maana kila nikikumbuka natamani nikaseme kwamba mimi ndiye niliyeiba lkn hela yenyewe ishabwa,aliyeipata atakua yupo mbali kama ana plan za maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…