Ni kitu gani cha kijinga ulichokifanya uliposhika hela nyingi kwa mara ya kwanza?

Ni kitu gani cha kijinga ulichokifanya uliposhika hela nyingi kwa mara ya kwanza?

Huyo lazma alikuwa mke wa waziri sonyo mkuu


Waziri Sonyo hana mke ana mahawara....mke wa waziri anatongozeka asikudanganye mtu, wengi wao wanaolewa si kwa mapenzi ila kwa ajili ya uhakika wa mlo na matanuzi. Wewe huoni mawaziri (enzi za JK) wakijirusha na vimada na kususa wake zao majumbani? Hivyo, usishangae kwani mwanamke naye ana mahitaji yake ya unyumba.
 
Maeneo ya Shivaz na mnara wa saa Arusha nikiwa secondary shule moja maarufu sanawari..wale wadada wa shivaz na mnara wa saa watakuwa wamenimiss sana au labda wanajua tajiri mtoto alishakufagaa au alipoteleaga wapi..Nilitoa order ya papuchi na nyingine nilipewa free off charge maana nilikuwa customer mzuri no negotiation kwenye upande wa pesa..kuna waliokuwa wako gheto wamepangisha maeneo yale..nilikuwa nikitoka darasani mida ya saa 10 jioni nikibadilisha nguo tu naenda kuwagegeda tu in 4 years..nilikuwa na gram 7 ya Tanzanite niliuza takribani 5M kipindi hicho..nilikula bata kipindi hicho Duh!! Nina matukio mengine ngoja niwape nafasi wengine watoe yalioko moyoni
 
Nilikua first year semister ya kwanza ndio tumeingia chuo kuna demu alikua ananidharau sana nikachukua boom na kuapa nitakula naye sahani moja nikamweka kati na kumuingiza hotel.... Yule demu nlimbonda sana siku hiyo nilivyochoka nikamwacha alale nikachukua simu yake nikafuta namba zangu na meseji zangu zote kisha nikasepa kimya kimya.... Demu kuja kuamka sipo nshapotea.... Baada ya siku mbili nikapiga mtungi nikamkumbuka KIBAYA nikasahau kuwa nilimfanyia umafia si nikampigia simu Wacha aniporomoshee mitusi...

Mwingine nilitoka dar mpaka moro kwa hela ya boom kwenda kula mzigo nikaingia hotel ya kali.....

Nilivyoanza kazi nilikua nasafiri mara kwa mara nilikua na mademu kila mkoa niliokanyaga kasoro iringa na njombe... Ila makambako mbeya tunduma sumbawanga mpanda songea mbamba Bay namtumbo na pengine kote nilisabahi....

Ila kwa sasa naogopa mademu sijui kwa nini....
Kwa sababu ya Ukimwi
 
Sita sahau,tulivyopewa mgao wa urithi kila mrithi alipewa milioni ushirini...mm niliwaomba benki hela yangu iwe ni ya chenjichenji yote..basi wakanipa coins za mimia za shilingi milioni 20,mpaka leo ninazo huwa natumia shs 300 kwa siku.ili zisiishe haraka.
🤣🤣🤣😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾

Mrejesho mkuu
 
2007 niko shule ya msingi tulitembelewa na Mkuu wa wilaya ya kinondoni wakati huo Kanali Fabian Massawe na Mbunge wa ubungo kipindi hiyo Charles Keenja. Wakaingia wakauliza maswali kadhaa mimi na drmu mmoja hivi tukayajibu vizuri wakatupa 2000 kila mtu mkmi na yule demu. Daaahhh!! Nilipagawa nilipotoka tu class boss mimi kila mtu Gru Gru Gru. Nilikula pesa yote kuanzia saa6 hadi 8 sina kitu nilirudi nyumbani na peasi mkononi ndo naanza kukumbuka vitu vya msingi ambavyo ningenunua. Tangu siku ile nilikoma, nikipata pesa siendi jayo resi.
 
Juzi juzi tu apa . Nilitumbua kama 1m pale Maison kwa kutaka sifa. Alafu asubuhi naamka nina 30k tu
 
Nilisafiri mkoani kumfuata mwanamke Niliekuwa Nikiota kumpata mpaka Nikawa Naumwa. Tulitumbua raha kwa kuhama hoteli kadhaa za kifahari mkoa ule. Yaani ilikuwa Tukichukua chumba halafu Tv ikazingua au channel za Movies hazieleweki, kesho yake Tunatafuta hoteli kali zaidi na kitu cha kwanza kukagua ni Channels na ndipo mengine yanafuata. Yaani hadi leo huwa Nadata sana na huyu mwanamke maana siinjoi hata kinywaji Nikikumbuka navyoinjoi kunywa nae. Nikarudi Dar bado haikutosha, Nikamtumia Nauli, breki ya kwanza Ilikuwa mitaa fulani inayoongoza kwa Bar na ukahaba hapa Dar ambako Tulikaa kwenye lodge moja kali sana kwa kama siku saba mfululizo Tukitoka night tu. Pesa inazuzua sana usipotulia ingawa binafsi Nachokumbuka ni matukio Niliyowahi kufanya kwa namna ya hatari sana kwa sababu sikumbuki mara ya kwanza kushika pesa nyingi aisee. Huyu Tuliefanya nae hizi vurugu ni mama wa baby wangu sasa na bado yuko ndotoni mwangu, it feels stupid and crazy sometimes.
Kituko kingine Nilichowahi kufanya ni kumfuata msichana kampala ambako Tulitumbua pesa kama vichaa pia kwa wiki mbili. Ingawa Nilikuwa Naishi mwenyewe, Nahisi kosa nililofanya ilikuwa kutomuaga mtu yeyote katika familia yangu.
Kituko kingine Nilichowahi kufanya ni kile Nilichokifanya baada tu ya kutoka kuchukua pakee ya mgao wangu, Nikaenda Tigopesa, Airtel money na M-pesa Nikazijaza laini zote na pesa full. Nikabakiza kama M 1.5 mfukoni, Nikavuka na pantoni kigamboni kuja town. Hapo niko raugh kweli kweli, Nikamchukua taxi driver Nikamuuliza gharama ya kutoka pale hadi Bagamoyo ambako Nilimtanguliza mtu, aliponipa bei, Nikamwambia Tupite Sinza Nijafanye Shopping mpaka ya begi Nikatafuta lodge Nikaoga na kuchange, kisha Tukanyoosha mpaka Bagamoyo. Kilichotokea ni kuwa pamoja na mbwembwe zote hizo, Tuliishia kutibuana na alienisubiri halafu Nikaharibu zaidi baada ya kutongoza mtu mwingine kwa hasira. In short Tuliishia kulala vyumba tofauti na kurudi kila mtu na njia yake. Ila utoto ndio uliochangia kwa kiasi kikubwa.
Nina visa vingi ila hebu wengine wachangie.
Umekulapo kabata mkuu..shukuru[emoji848]
 
Nashukuru Mungu huwa nikishika pesa ndefu huwa sinaga kile kimuhemuhe cha kutumia vibaya zaidi hukaa na kupanga nifanyie nini cha maana kwa faida.
Pesa ya kwanza kuishika ilikuwa bum la kwanza first year nikatumia kiasi kwa matumizi ya kawaida chuoni nyingine nikaweza nilipopata mabum mengine niksongeza na kufanikiwa kununua kompyuta nikiwa mwaka wa kwanza
Boom nayo ni pesa?
 
Sijapata hela nyingi kiasi cha kuwaza kufanyia anasa ila nadhani siku zikintembelea tu cha kwanza jioni ya hio siku nitatua pale Gran Melia na kukamata Package ya kueleweka. Usingizi+Gym+Spa+Swimming na the next day ni "Brunch" itanihusu 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom