Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Huyo lazma alikuwa mke wa waziri sonyo mkuu
Raha za kula tigo, au sio @ummtotomlitoNlienda Mombasa kula rahaaa, Dah sitakaa nisahauuu raha za Mombasaa.
savings.....kujiwekea akiba na kununua nyumba ni kitu cha kijinga???!!Niliweka servings. Nikaongezea na kununua nyumba yangu ya kwanza .
Kwenye ndoto?me nilinunua ufukwe wa coco beach.
Kwa sababu ya UkimwiNilikua first year semister ya kwanza ndio tumeingia chuo kuna demu alikua ananidharau sana nikachukua boom na kuapa nitakula naye sahani moja nikamweka kati na kumuingiza hotel.... Yule demu nlimbonda sana siku hiyo nilivyochoka nikamwacha alale nikachukua simu yake nikafuta namba zangu na meseji zangu zote kisha nikasepa kimya kimya.... Demu kuja kuamka sipo nshapotea.... Baada ya siku mbili nikapiga mtungi nikamkumbuka KIBAYA nikasahau kuwa nilimfanyia umafia si nikampigia simu Wacha aniporomoshee mitusi...
Mwingine nilitoka dar mpaka moro kwa hela ya boom kwenda kula mzigo nikaingia hotel ya kali.....
Nilivyoanza kazi nilikua nasafiri mara kwa mara nilikua na mademu kila mkoa niliokanyaga kasoro iringa na njombe... Ila makambako mbeya tunduma sumbawanga mpanda songea mbamba Bay namtumbo na pengine kote nilisabahi....
Ila kwa sasa naogopa mademu sijui kwa nini....
Mombasa raha.. Goti..Nlienda Mombasa kula rahaaa, Dah sitakaa nisahauuu raha za Mombasaa.
Najitolea.. Uko tayari!?Sijapata bahati na hizo hela nyingi,nani ajitolee kunishikisha?
Najitolea.. Uko tayari!?
🤣🤣🤣😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾Sita sahau,tulivyopewa mgao wa urithi kila mrithi alipewa milioni ushirini...mm niliwaomba benki hela yangu iwe ni ya chenjichenji yote..basi wakanipa coins za mimia za shilingi milioni 20,mpaka leo ninazo huwa natumia shs 300 kwa siku.ili zisiishe haraka.
laki 7 ya watu niliitafuna usiku mmoja.Juzi juzi tu apa . Nilitumbua kama 1m pale Maison kwa kutaka sifa. Alafu asubuhi naamka nina 30k tu
Umekulapo kabata mkuu..shukuru[emoji848]Nilisafiri mkoani kumfuata mwanamke Niliekuwa Nikiota kumpata mpaka Nikawa Naumwa. Tulitumbua raha kwa kuhama hoteli kadhaa za kifahari mkoa ule. Yaani ilikuwa Tukichukua chumba halafu Tv ikazingua au channel za Movies hazieleweki, kesho yake Tunatafuta hoteli kali zaidi na kitu cha kwanza kukagua ni Channels na ndipo mengine yanafuata. Yaani hadi leo huwa Nadata sana na huyu mwanamke maana siinjoi hata kinywaji Nikikumbuka navyoinjoi kunywa nae. Nikarudi Dar bado haikutosha, Nikamtumia Nauli, breki ya kwanza Ilikuwa mitaa fulani inayoongoza kwa Bar na ukahaba hapa Dar ambako Tulikaa kwenye lodge moja kali sana kwa kama siku saba mfululizo Tukitoka night tu. Pesa inazuzua sana usipotulia ingawa binafsi Nachokumbuka ni matukio Niliyowahi kufanya kwa namna ya hatari sana kwa sababu sikumbuki mara ya kwanza kushika pesa nyingi aisee. Huyu Tuliefanya nae hizi vurugu ni mama wa baby wangu sasa na bado yuko ndotoni mwangu, it feels stupid and crazy sometimes.
Kituko kingine Nilichowahi kufanya ni kumfuata msichana kampala ambako Tulitumbua pesa kama vichaa pia kwa wiki mbili. Ingawa Nilikuwa Naishi mwenyewe, Nahisi kosa nililofanya ilikuwa kutomuaga mtu yeyote katika familia yangu.
Kituko kingine Nilichowahi kufanya ni kile Nilichokifanya baada tu ya kutoka kuchukua pakee ya mgao wangu, Nikaenda Tigopesa, Airtel money na M-pesa Nikazijaza laini zote na pesa full. Nikabakiza kama M 1.5 mfukoni, Nikavuka na pantoni kigamboni kuja town. Hapo niko raugh kweli kweli, Nikamchukua taxi driver Nikamuuliza gharama ya kutoka pale hadi Bagamoyo ambako Nilimtanguliza mtu, aliponipa bei, Nikamwambia Tupite Sinza Nijafanye Shopping mpaka ya begi Nikatafuta lodge Nikaoga na kuchange, kisha Tukanyoosha mpaka Bagamoyo. Kilichotokea ni kuwa pamoja na mbwembwe zote hizo, Tuliishia kutibuana na alienisubiri halafu Nikaharibu zaidi baada ya kutongoza mtu mwingine kwa hasira. In short Tuliishia kulala vyumba tofauti na kurudi kila mtu na njia yake. Ila utoto ndio uliochangia kwa kiasi kikubwa.
Nina visa vingi ila hebu wengine wachangie.
HaahaaNaona thread imevamiwa tayari!
Boom nayo ni pesa?Nashukuru Mungu huwa nikishika pesa ndefu huwa sinaga kile kimuhemuhe cha kutumia vibaya zaidi hukaa na kupanga nifanyie nini cha maana kwa faida.
Pesa ya kwanza kuishika ilikuwa bum la kwanza first year nikatumia kiasi kwa matumizi ya kawaida chuoni nyingine nikaweza nilipopata mabum mengine niksongeza na kufanikiwa kununua kompyuta nikiwa mwaka wa kwanza