Ni kitu gani cha kustaajabisha uliwahi kukiona kwa mtu ulipoenda kumtembelea ukashindwa kuielewa ni wapi alikipata?

Ni kitu gani cha kustaajabisha uliwahi kukiona kwa mtu ulipoenda kumtembelea ukashindwa kuielewa ni wapi alikipata?

Goofy_

Member
Joined
Mar 7, 2024
Posts
79
Reaction score
253
Niliwahi kuona

Jamaa wa kwanza alikuwa na kibao Cha ubalozi wa ufilipino ndani

Screenshot_20241124-111029.jpg


Wa pili ni demu ana mashuka yameandikwa PRISON ROOM 4.

Wewe ulikutana na nini?
 
Back
Top Bottom