Ni kitu gani cha lazima usichokipenda?!

Ni kitu gani cha lazima usichokipenda?!

Kulala wakati sina usingz halaf watu wote wamelala ndani so unajikuta kama mwanza then inabid ulale kinguvu mana asbh job lazima usinzie
 
Unamaanisha kodi ya pango? Unayolipa kwa mwenye nyumba?

Hata nyumba yako uloijenga mwenyewe na uishiyo mwenyewe inalipiwa kodi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mara ya mwisho kulipa kodi ni pale tulipokuwa tumepanga baaasi hiki kibanda chetu hatjawahi kukilipia kodi labda mpaka waje kutukamata
 
Katika maisha yetu hapa duniani kuna vitu ambavyo tumeumbiwa na ni lazima tuvifanye,

Mfano: Kula, kulala,kuoga n,k

Sasa kuna vingine huwa tunafanya tu kwasababu ni lazima ila hatuvipendi sasa tutaje vile ambavyo hatuvipendi mimi sipendi kujamba kwa kweli[emoji38]

Sijui wewe hupendi nn?
Sipendi kula na huwa inafikaga stage nachoka kutafuna kabisaa
 
Back
Top Bottom