Ni kitu gani cha lazima usichokipenda?!

Ni kitu gani cha lazima usichokipenda?!

Umewahi kukaa mkutanoni, kwa mfano, halafu kila baada ya sekunde kadhaa tumbo linaachia ngurumo "gruuuuuuuuu"? Akilini unawaza, "Hivi wameelewa kuwa hiyo ni ngurumo ya tumboni na sio kwamba ni ile nyingine?" Unatamani utoe ufafanuzi ili kuua soo. 🙄🙄🙄🙄🙄😱😱😱
Da hiyo kweli mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila wataelewa tu coz ile ngurumo ya tumbni hainuki
 
Naendaga kila siku aaubuhi na jioni mpaka kero aisee!!! Nikibana nisiende kesho yake shughuli pevu mpaka inanichana naniliu [emoji85]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87]
 
Sipendi kupiga mswaki a.k.a kusafisha meno kabisaaaa...


napenda kusikia harufu ya kinywa, hasa mwanamke ambaye hajasafisha kinywa tena jana yake awe alikunywa serengeti beer na mataputapu mengine kama Chibuku au banana.. napenda ile harufu hatari...
Uwiiii....
Mayo weeengaaa
 
Me vitu ambavyo sivipendi lakini ni lazima
* kunya na mjomba ake kujamba (ingawa napenda msosi)
* kuoga kipindi. Hii kitu utotoni nilikua nakula kichapo kila day lakini ckuiz mgegedo umeiteka dunia inanibidi tu kuoga
* kutandika kitanda. Demu wangu alifanya mpk saiz nikiamka natandika japokua sipendi.
Navingine vingi tu
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji106]
 
Ohoooo jitahidi umalize banaa
Shule namaanisha kwa ujumla wake siunaju elimu haina mwisho.kila siku kuna mambo mapya yanayolazimu kurudi darasani ili kuwa compitent kwenye fani yako ,sekondary na chuo nlimaliza kwa kujilazimisha sana,nachochukia mimi sio elimu ila kule kukaa darasani kila siku kusomeshwa matheory.hapa nina kakozi ka mwezi mmoja nakasoma lakini naona kama nmesoma mwaka
 
Mie napenda sana kugegeda, weekend huwa ttunashinda ndani tu na mke wangu, ni kugegeda tu
 
Back
Top Bottom