Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,461
- 2,158
Tumeshamaliza kuhesabiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NjooNgoja na mie nije nijaribu bahati yangu
Keep up mdogo wangu, naamini wewe bado young, kaa mbali sana na hii dhambi maana imewaangamiza vijana wengi.sijawai kutoa mimba
Utaliwa tuSijawahi liwa tigo na haitokuja tokea,sijawahi panda ndege ila soon itatokea[emoji6]
Tafuta uongo mwingineSex dah! Ila watu wanaona ajabu but sijawahj[emoji134][emoji81][emoji81][emoji81]
Sawa🤣Utaliwa tu
Ka comment kwenye uzi wa mambo ya kanisani mkuu.Uzi ungekuwa wa kufurahisha sana kama mambo ya ngono yasingeingia saaana anyway sijawai;
Kunywa pombe mbali na mbenge nikiwa pre primary ilikuwa inapikwa kwa jirani na tulikuwa tunashiriki kumenya ndizi [emoji23][emoji23].
Kunywa energy drink yyte kuanzia guiness mpaka hizi malta
Kuvuta sigara
Kupanda treni kwa Safari ya kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
Kuwa wa kwanza shule ya msingi.
Kuanzisha ugomvi.
Kumiliki chombo cha usafiri mbali na miguu[emoji23][emoji23]
Kupendwa kimahusiano kwa dhaaaati mpaka kufahamu.
Kuibiwa au kukabwa na vibaka au panya road.
Kupanda ndege
Kuogelea / kupiga mbizi.
Kushiriki uchawi.
AminaKeep up mdogo wangu, naamini wewe bado young, kaa mbali sana na hii dhambi maana imewaangamiza vijana wengi.
Una umri gani mkuu?Sex dah! Ila watu wanaona ajabu but sijawahj[emoji134][emoji81][emoji81][emoji81]
Hakuna raha yoyote na lile ni agano, ukimtoa mwanamke bikira mmekuwa mwili mmoja, na ndiyo maana imani nyingi zinasisitiza tendo la ndoa mpaka mkifunga ndoa. Na ndiyo maana mwanamke akiolewa na ambaye hakumtoa usichana wake lazima mahusiano yawe na taharuki.Sijawahi kumtoa mwanamke bikira. Sijui Raha au shida yake
Twende nikupeleke Znz ukaruke na Parachute, Scuba Diving, Riding Horse, Swim with Turtles, and all the fun.... Gharama zangu.Mimi vingi sana sijawahi, ila ambavyo natamani sana kufanya: (kwahiyo bado sijafanya)
-kuruka na parachute na scuba diving (Zanzibar)
-kupanda treni (ata ili la dar sijawahi)
-kupanda Kilimanjaro mountain
ivyo vitatu najua nikikaza naweza, umasikini na budge tu..
On my dreams..
Kuendesha F1 cars, F18 hornet, kuvaa Mark IV harmor, wtf????
Dah. Ngoja nianze kwenda gym nijaribu kukitoa aisee..Twende nikupeleke Znz ukaruke na Parachute, Scuba Diving, Riding Horse, Swim with Turtles, and all the fun.... Gharama zangu.
Sharti: Usiwe na Kitambi.