Ni kitu gani huwa kina mchochea mtu kutukana na kuporomosha matusi

Ni kitu gani huwa kina mchochea mtu kutukana na kuporomosha matusi

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni hali gani au mazingira gani mahususi yanamfanya mtu, mathalani kwasababu ya utofauti wa mawazo au maoni tu, anaporomsha au kutetea matusi ya nguvu, tena kwa mpangilio, na anatukana kama charahani kwa utaratibu kama vile amefuzu mafunzo fulani ya matusi na kutukana mahali fulani, kitu ambacho sio ustaarabu wa waliopitia na kuzingatia vizuri malezi ya wazazi, malezi ya kiroho na ya kimwili kupitia jamii inayo mzunguka, pamoja na malezi na mafunzo kule chekechea, shule ya msingi, sekondari na hata vyuo vya elimu ya juu :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

ladies and gentlemen,
kwanini matusi na matukano kwenye mijadala ya kiungwana na kustaarabu kwemye platfoms za kijamii:BRUHMM::BRUHMM:
 
ni hali gani au mazingira gani mahususi yanamfanya mtu, mathalani kwasababu ya utofauti wa mawazo au maoni tu, anaporomsha au kutetea matusi ya nguvu, tena kwa mpangilio, na anatukana kama charahani kwa utaratibu kama vile amefuzu mafunzo fulani ya matusi na kutukana mahali fulani, kitu ambacho sio ustaarabu wa waliopitia na kuzingatia vizuri malezi ya wazazi, malezi ya kiroho na ya kimwili kupitia jamii inayo mzunguka, pamoja na malezi na mafunzo kule chekechea, shule ya msingi, sekondari na hata vyuo vya elimu ya juu :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

ladies and gentlemen,
kwanini matusi na matukano kwenye mijadala ya kiungwana na kustaarabu kwemye platfoms za kijamii:BRUHMM::BRUHMM:
kwani we hujawahi kukereka..? hujawahi kufika hatua hasira zikakupanda kisa kero za mtu! yanashukaga tu from no where!..😀
 
ni hali gani au mazingira gani mahususi yanamfanya mtu, mathalani kwasababu ya utofauti wa mawazo au maoni tu, anaporomsha au kutetea matusi ya nguvu, tena kwa mpangilio, na anatukana kama charahani kwa utaratibu kama vile amefuzu mafunzo fulani ya matusi na kutukana mahali fulani, kitu ambacho sio ustaarabu wa waliopitia na kuzingatia vizuri malezi ya wazazi, malezi ya kiroho na ya kimwili kupitia jamii inayo mzunguka, pamoja na malezi na mafunzo kule chekechea, shule ya msingi, sekondari na hata vyuo vya elimu ya juu :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

ladies and gentlemen,
kwanini matusi na matukano kwenye mijadala ya kiungwana na kustaarabu kwemye platfoms za kijamii:BRUHMM::BRUHMM:
Afya ya akili
 
kukosa ustahimilivu, na hali ya kutotaka kupingwa
kwamba mtua anakua ameathiriwa na kitu inaitwa sense of perfections, right?

kwamba anaona hakuna hoja, msimamo au idea bora na sahihi zaidi yake, right? :pulpTRAVOLTA:
 
kwamba mtua anakua ameathiriwa na kitu inaitwa sense of perfections, right?

kwamba anaona hakuna hoja, msimamo au idea bora na sahihi zaidi yake, right? :pulpTRAVOLTA:
Yes, Yaani anaona mawazo/mtazamo wake ni Alpha na Omega
 
Mihemko, hasira
yes, nakubaliana na hayo,

naona pia ni hali ya kukata tamaa au kuishiwa, mathalani hoja au mawazo mbadala dhidi ya mawazo au hoja nuyingine yenye nguvu zaidi ya yake:pulpTRAVOLTA:
 
Nilikuwaga mzuri tu ila mwaka 2016 nilichukua chumba mahali kwajili ya biashara ya miamala ya pesa za mitandao M PESA .
Pembeni kulikuwa na duka kubwa la jamaa wanatengeneza furniture masofa na kababati nk. Hawa jamaa walikuwa wanatukana mpaka unajiuliza haya matusi ni ameyaandika kwenye kitabu au??
Basi baada ya muda nikawamzoefu asee saivi najifunza kuacha mana hata mke amekuwa anacheka tu.
Mungu nisaidie watoto wangu wamekuwa sasa
 
kwani we hujawahi kukereka..? hujawahi kufika hatua hasira zikakupanda kisa kero za mtu! yanashukaga tu from no where!..😀
nina hisia na ninakerekaga sana,

but matusi na matukano hayajawahi nisaidia hata siku moja, nikapata faraja, zaidi ya kudharaulika zaidi kwa niliyo watukana kwamba kumbe mimi ni useless namna hiyo:pedroP:
 
Ni hali gani au mazingira gani mahususi yanamfanya mtu, mathalani kwasababu ya utofauti wa mawazo au maoni tu, anaporomsha au kutetea matusi ya nguvu, tena kwa mpangilio, na anatukana kama charahani kwa utaratibu kama vile amefuzu mafunzo fulani ya matusi na kutukana mahali fulani, kitu ambacho sio ustaarabu wa waliopitia na kuzingatia vizuri malezi ya wazazi, malezi ya kiroho na ya kimwili kupitia jamii inayo mzunguka, pamoja na malezi na mafunzo kule chekechea, shule ya msingi, sekondari na hata vyuo vya elimu ya juu :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

ladies and gentlemen,
kwanini matusi na matukano kwenye mijadala ya kiungwana na kustaarabu kwemye platfoms za kijamii:BRUHMM::BRUHMM:
Kwa sababu wana akiba kubwa ya matusi mioyoni mwao.
 
Back
Top Bottom