Ni kitu gani huwa kina mchochea mtu kutukana na kuporomosha matusi

Ni kitu gani huwa kina mchochea mtu kutukana na kuporomosha matusi

Niliwahi kuwa na mwanamke katika harakati za ujana. Alikuwa na vigezo vyote kasoro mdomo mchafu anaongea kama redio nikaona ya nini kufa mapema nikiwa bado kijana. Nikasepa zangu
 
Ni hali gani au mazingira gani mahususi yanamfanya mtu, mathalani kwasababu ya utofauti wa mawazo au maoni tu, anaporomsha au kutetea matusi ya nguvu, tena kwa mpangilio, na anatukana kama charahani kwa utaratibu kama vile amefuzu mafunzo fulani ya matusi na kutukana mahali fulani, kitu ambacho sio ustaarabu wa waliopitia na kuzingatia vizuri malezi ya wazazi, malezi ya kiroho na ya kimwili kupitia jamii inayo mzunguka, pamoja na malezi na mafunzo kule chekechea, shule ya msingi, sekondari na hata vyuo vya elimu ya juu :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

ladies and gentlemen,
kwanini matusi na matukano kwenye mijadala ya kiungwana na kustaarabu kwemye platfoms za kijamii:BRUHMM::BRUHMM:
Sasa kwa mfano mtu akimpinga mzalendo nambari moja Ndugu Mpina luhaga mtu kama huyo anakosaje kuoga matusi?
 
Nakukumbuka kipindi tuko primary tulikua na kikundi chetu tukapinga mchezo unaitwa kutukana no. Ukitukana unachezea makwenzi.

Sasa ile tumemalize kupinga tu nikasikia "Kmmk sasa atukane mtu aone..." Hahah tukaanza nae.
 
Ni hali gani au mazingira gani mahususi yanamfanya mtu, mathalani kwasababu ya utofauti wa mawazo au maoni tu, anaporomsha au kutetea matusi ya nguvu, tena kwa mpangilio, na anatukana kama charahani kwa utaratibu kama vile amefuzu mafunzo fulani ya matusi na kutukana mahali fulani, kitu ambacho sio ustaarabu wa waliopitia na kuzingatia vizuri malezi ya wazazi, malezi ya kiroho na ya kimwili kupitia jamii inayo mzunguka, pamoja na malezi na mafunzo kule chekechea, shule ya msingi, sekondari na hata vyuo vya elimu ya juu :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

ladies and gentlemen,
kwanini matusi na matukano kwenye mijadala ya kiungwana na kustaarabu kwemye platfoms za kijamii:BRUHMM::BRUHMM:
Waulize wazaramo.
 
Ni hali gani au mazingira gani mahususi yanamfanya mtu, mathalani kwasababu ya utofauti wa mawazo au maoni tu, anaporomsha au kutetea matusi ya nguvu, tena kwa mpangilio, na anatukana kama charahani kwa utaratibu kama vile amefuzu mafunzo fulani ya matusi na kutukana mahali fulani, kitu ambacho sio ustaarabu wa waliopitia na kuzingatia vizuri malezi ya wazazi, malezi ya kiroho na ya kimwili kupitia jamii inayo mzunguka, pamoja na malezi na mafunzo kule chekechea, shule ya msingi, sekondari na hata vyuo vya elimu ya juu :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

ladies and gentlemen,
kwanini matusi na matukano kwenye mijadala ya kiungwana na kustaarabu kwemye platfoms za kijamii:BRUHMM::BRUHMM:
Kama unadharau wenzako na kupuuza haki zao lazima utukanwe
 
Nakukumbuka kipindi tuko primary tulikua na kikundi chetu tukapinga mchezo unaitwa kutukana no. Ukitukana unachezea makwenzi.

Sasa ile tumemalize kupinga tu nikasikia "Kmmk sasa atukane mtu aone..." Hahah tukaanza nae.
Huko mbauda Arusha kuna pacha wa kiume alikufa akamwacha pacha wa kike. Sasa makaburini kabla ya kuzika yule pacha wa kike alikuwa akilia kwa uchungu sana kwa nini Mungu kamchukua pacha mwenzake kwanini asingemchukua yeye akambakiza marehemu. Mara pacha marehemu kwenye jeneza akafungua na kuamka na kukang'aka qqmmayoo njoo sasa uchukue nafasi yangu maaamaeee baadaye akalala na kufunga jeneza. Watu wote tulitoka baru pamoja na pacha wa kike.

Hii story ya kweli kabisa nilishuhudia na macho yangu.
 
Huko mbauda Arusha kuna pacha wa kiume alikufa akamwacha pacha wa kike. Sasa makaburini kabla ya kuzika yule pacha wa kike alikuwa akilia kwa uchungu sana kwa nini Mungu kamchukua pacha mwenzake kwanini asingemchukua yeye akambakiza marehemu. Mara pacha marehemu kwenye jeneza akafungua na kuamka na kukang'aka qqmmayoo njoo sasa uchukue nafasi yangu maaamaeee baadaye akalala na kufunga jeneza. Watu wote tulitoka baru pamoja na pacha wa kike.

Hii story ya kweli kabisa nilishuhudia na macho yangu.
hapa unatuchota mchana kweupe kabisa gentleman dah:pedroP:
 
Back
Top Bottom