NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

Goeff na Xpini mi leo hata sapu wala ripiti a year siioni ni disco moja kwa moja. mada ngumu kwangu
 
Goeff na Xpini mi leo hata sapu wala ripiti a year siioni ni disco moja kwa moja. mada ngumu kwangu
usijali!hauta sapu wala kukerri!wala disko!MIMI NA SHEMEJI TUMESHAKUELEWA!jiandae kwa phase 11 ya the same mada,mwakani!tutakuja na uchambuzi wa kina kuhusu matatizo yenu na yanayowashangaza(probably na solutions tutawapa)...to be continued.....
 
Goeff na Xpini mi leo hata sapu wala ripiti a year siioni ni disco moja kwa moja. mada ngumu kwangu

Tunakushukuru kwa kukufahamu Miss Speechless and motionless after vululuvululu girl! Bila hii sredi tungekujuaje bana!
 
Ziondaughter
Location: Church

ZD i worry Baba Paroko akipita kama guest akakukuta huku sijui jioni utaenda kujitetea vipi? Chrispin atakuruka

Hahaha! Hakuna watu naowaogopa kama hao watu mpwa! Hatari sana wale! LOL!
 
Ziondaughter
Location: Church

ZD i worry Baba Paroko akipita kama guest akakukuta huku sijui jioni utaenda kujitetea vipi? Chrispin atakuruka
ha ha ha ha!
paroko ni x-pin
 
Tunakushukuru kwa kukufahamu Miss Speechless and motionless after vululuvululu girl! Bila hii sredi tungekujuaje bana!

haaaaaa (THE UNDERLINED MAN) duh unajimu wako feki Iribini, thanks to mpwa Goeff amenisoma vilivyo
 
Tunakushukuru kwa kukufahamu Miss Speechless and motionless after vululuvululu girl! Bila hii sredi tungekujuaje bana!
ha ha ha ha ha ha ha!
SENK YOU VERY MUCH
 
Haya wakuu mie kitu kinachonishangaza ni mtindo wa My wife, tunapolala kitandani mie hulala mwanzo yeye hulala upande wa ukutani, kitanda ni 6 by 6 lkn huwa tunalala utadhani tupo wa tatu kitandani always anaacha nafasi kubwa sana upande wa pili, ananisogelea karibu sana lkn cha ajabu ukimkumbatia au kumpa ma touch touch ya hatari analalamika eti unamkosesha usingizi lkn mie huku karibu nadondoka kitandani, nikihamia upande aliouacha wazi dk kumi hazipiti lazima asogelee tena, huwezi amini style hii ni 7yrs sasa haibadiliki, nimegundua hawezi badilika basi namchukulia km alivyo au sometimes najifanya mtundu zaidi na ma touch bin cares kidogo atakimbia lkn within 10 minutes lzm tubanane tena!!
 
haaaaaa (THE UNDERLINED MAN) duh unajimu wako feki Iribini, thanks to mpwa Goeff amenisoma vilivyo

Dont underestimate my bwashee! Huenda kashakufahamu kuliko mimi! LOL!
 
Hahaha! Hakuna watu naowaogopa kama hao watu mpwa! Hatari sana wale! LOL!
kuna mshikaji alitafuniwaga kipusa wake na Mchunga kondoo mmoja, toka siku hiyo not reachable in the church, just imagine hawa wachunga kondoo wanawafanya hadi waumini wanakimbia nyumba za ibada. Mwe! Hata mimi i dont trust them to that extent
 
Haya wakuu mie kitu kinachonishangaza ni mtindo wa My wife, tunapolala kitandani mie hulala mwanzo yeye hulala upande wa ukutani, kitanda ni 6 by 6 lkn huwa tunalala utadhani tupo wa tatu kitandani always anaacha nafasi kubwa sana upande wa pili, ananisogelea karibu sana lkn cha ajabu ukimkumbatia au kumpa ma touch touch ya hatari analalamika eti unamkosesha usingizi lkn mie huku karibu nadondoka kitandani, nikihamia upande aliouacha wazi dk kumi hazipiti lazima asogelee tena, huwezi amini style hii ni 7yrs sasa haibadiliki, nimegundua hawezi badilika basi namchukulia km alivyo au sometimes najifanya mtundu zaidi na ma touch bin cares kidogo atakimbia lkn within 10 minutes lzm tubanane tena!![/QUOTE]

la la la la la la la!
mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!MAISHA YA NDOA BANA,LOL
 
Haya wakuu mie kitu kinachonishangaza ni mtindo wa My wife, tunapolala kitandani mie hulala mwanzo yeye hulala upande wa ukutani, kitanda ni 6 by 6 lkn huwa tunalala utadhani tupo wa tatu kitandani always anaacha nafasi kubwa sana upande wa pili, ananisogelea karibu sana lkn cha ajabu ukimkumbatia au kumpa ma touch touch ya hatari analalamika eti unamkosesha usingizi lkn mie huku karibu nadondoka kitandani, nikihamia upande aliouacha wazi dk kumi hazipiti lazima asogelee tena, huwezi amini style hii ni 7yrs sasa haibadiliki, nimegundua hawezi badilika basi namchukulia km alivyo au sometimes najifanya mtundu zaidi na ma touch bin cares kidogo atakimbia lkn within 10 minutes lzm tubanane tena!![/QUOTE]

la la la la la la la!
mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!MAISHA YA NDOA BANA,LOL

Hahahahahahaha! Thats It! Direct! Wote wangekuwa direct namna hii mada ingeshafungwa!
 
welkamu baack welkamu baak welikamu baaaaak!
TURUDI KWENYE SREDI MAMA!nasubiri mchango wako
senki yu veri much shemeji,mwenzenu intaneti ipo veri sloo.Au nyie mmeunganishwa kwenye mkonga?
Ngoja nirudi kwenye mada,Mie kinachonishangaza kuhusu My Xpin ni vile Anamaindi'Banta',Yani utafikiri ana hisa kwenye kiwanda cha banta,anakunywaaaaa weeee mpaka basi.Nina mpango nimpeleke kwa Dk NDODI aombewe,labda ni mapepo.
 
senki yu veri much shemeji,mwenzenu intaneti ipo veri sloo.Au nyie mmeunganishwa kwenye mkonga?
Ngoja nirudi kwenye mada,Mie kinachonishangaza kuhusu My Xpin ni vile Anamaindi'Banta',Yani utafikiri ana hisa kwenye kiwanda cha banta,anakunywaaaaa weeee mpaka basi.Nina mpango nimpeleke kwa Dk NDODI aombewe,labda ni mapepo.
eeeh!this iz suppossed to be siriiaaaz
 
Ziondaughter
Location: Church

ZD i worry Baba Paroko akipita kama guest akakukuta huku sijui jioni utaenda kujitetea vipi? Chrispin atakuruka
Unataka kuniambia Kanisani hakuna MAHUSIANO,MAPENZI NA URAFIKI? Sasa yeye baba Paroko alitoka wapi? kama sio mapenzi hata yeye asingekuwepo.Kwa hiyo anahusika sana huku niliko.
 
Back
Top Bottom