Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Mpwa tunazungumzia kile cha gesti house. Au nimemesap Fidel80?
Hahahaha! Hujasapu! Kama kashamuuliza mpaka Anna wa chawote.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa tunazungumzia kile cha gesti house. Au nimemesap Fidel80?
Mpwa tunazungumzia kile cha gesti house. Au nimemesap Fidel80?
Hahahahahahaha! Thats It! Direct! Wote wangekuwa direct namna hii mada ingeshafungwa!
Ndo manaake wengi wanaficha ficha/kuogopa sasa wanaogopa nini ndo maana wanayapata hayo matatizo
Mpwa tunazungumzia kile cha gesti house. Au nimemesap Fidel80?
teh teh,Usijali Sipo,ameshamtambulisha kwangu kuwa ni best friend wake toka nasare.Kumradhi Mpwa. I thought you were offline with FL1
Jioni nitamwuliza Agness wa Zero Pub nimuulize kwanini anapenda kulala ukutani. Ila siamini hilo la kuogopa kudondoka kama ni la kweliNimempigia cmu Anna wa Chawote kasema iwa wanaogopa kudondoka. Sijui bht unasemaje hili.
Jioni nitamwuliza Agness wa Zero Pub nimuulize kwanini anapenda kulala ukutani. Ila siamini hilo la kuogopa kudondoka kama ni la kweli
hii mada inakwenda kwa spidi ya ajabu na hela ya cafe ishaanza kuniishia.
umeua mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Ponjoro man ninae hapa mdau mkubwa wa Chawote kathibitisha hilo wababa wanapenda kulala pembeni tunasema kwenye moto alafu wa mama wanapenda ukutani.
hii mada inakwenda kwa spidi ya ajabu na hela ya cafe ishaanza kuniishia.
My Love hapa umetumia fani yako kwa usahihi kabisa. Congratulation Sweetie?????????????? mimi sikurefaaa cha gest ni cha nyumbani vinginevyo niliyosema hapo juu yatakuwa void ab initio sasa hivi!!!!!!!!!!
hehehee! Bht yani sipati picha Iribini akianza kugalagala mapepo yanapokemewa.Jana niliona Dk ndodi anaombea na binti mmoja akapandwa na mapepo.Labda nimuombee mwenyewe chumbani.hahaaaaa ongea na PakaJimmy abuku kabisa Ndodi yuko arusha, nyomi ile mbaya (sore off topic)
My Love hapa umetumia fani yako kwa usahihi kabisa. Congratulation Sweetie[/QUOTE]
Iribin, Goeff, trust at least for once you gonna reserve your beautiful and useful comments!!!
umeua mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
hahahahahahahahha
nimecheka hadi wahindi wananishangaa
hehehee! Bht yani sipati picha Iribini akianza kugalagala mapepo yanapokemewa.Jana niliona Dk ndodi anaombea na binti mmoja akapandwa na mapepo.Labda nimuombee mwenyewe chumbani.