NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

Mpwa tunazungumzia kile cha gesti house. Au nimemesap Fidel80?

?????????????? mimi sikurefaaa cha gest ni cha nyumbani vinginevyo niliyosema hapo juu yatakuwa void ab initio sasa hivi!!!!!!!!!!
 
Nimempigia cmu Anna wa Chawote kasema iwa wanaogopa kudondoka. Sijui bht unasemaje hili.
Jioni nitamwuliza Agness wa Zero Pub nimuulize kwanini anapenda kulala ukutani. Ila siamini hilo la kuogopa kudondoka kama ni la kweli
 
hii mada inakwenda kwa spidi ya ajabu na hela ya cafe ishaanza kuniishia.
 
Jioni nitamwuliza Agness wa Zero Pub nimuulize kwanini anapenda kulala ukutani. Ila siamini hilo la kuogopa kudondoka kama ni la kweli

Hahahahaha ebwanee msalimie sana na Fatuma am missing her very much.
 
Ponjoro man ninae hapa mdau mkubwa wa Chawote kathibitisha hilo wababa wanapenda kulala pembeni tunasema kwenye moto alafu wa mama wanapenda ukutani.
umeua mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
hahahahahahahahha
nimecheka hadi wahindi wananishangaa
 
hii mada inakwenda kwa spidi ya ajabu na hela ya cafe ishaanza kuniishia.

maendeleo yanachangiwa na changamoto haya kama hiyo chalenge nunua usb moderm hata ya sasatel tu uanze nayo
 
?????????????? mimi sikurefaaa cha gest ni cha nyumbani vinginevyo niliyosema hapo juu yatakuwa void ab initio sasa hivi!!!!!!!!!!
My Love hapa umetumia fani yako kwa usahihi kabisa. Congratulation Sweetie
 
hahaaaaa ongea na PakaJimmy abuku kabisa Ndodi yuko arusha, nyomi ile mbaya (sore off topic)
hehehee! Bht yani sipati picha Iribini akianza kugalagala mapepo yanapokemewa.Jana niliona Dk ndodi anaombea na binti mmoja akapandwa na mapepo.Labda nimuombee mwenyewe chumbani.
 
maendeleo yanachangiwa na changamoto haya kama hiyo chalenge nunua usb moderm hata ya sasatel tu uanze nayo
ha ha ha ha!
kuna watu wapo kefu?
siwatakuwa wanapata hasara?
 
My Love hapa umetumia fani yako kwa usahihi kabisa. Congratulation Sweetie[/QUOTE]

Iribin, Goeff, trust at least for once you gonna reserve your beautiful and useful comments!!!
 
umeua mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
hahahahahahahahha
nimecheka hadi wahindi wananishangaa

Yeah mdau mwenyewe Ponjoro man mpaka kwa Kinibu nae atakuwa member hapa hapa hivi punde
 
hehehee! Bht yani sipati picha Iribini akianza kugalagala mapepo yanapokemewa.Jana niliona Dk ndodi anaombea na binti mmoja akapandwa na mapepo.Labda nimuombee mwenyewe chumbani.

sasa chumbani hatari yake anaweza kuvunja vitu na akaumia, ile rum yenu moja ambayo ina vitu vichache vihamishe then ufanyie maombi pale ZD!!
 
Yeah mdau mwenyewe Ponjoro man mpaka kwa Kinibu nae atakuwa member hapa hapa hivi punde
mwambie ajiunge haraka nimpe SENKSI!nampongeza ******* kwa kampeni zake za kuhakikisha baa-medi NEEMA anaondoka mkulima pub
 
Back
Top Bottom