NI KITU GANI HUWA UNAKIJUTIA KATIKA MAISHA YAKO ??

NI KITU GANI HUWA UNAKIJUTIA KATIKA MAISHA YAKO ??

Najuta kuikacha j.k.t kwa kuogopa kupima ngoma, miezi 3 mbele nikaja toa damu na nimepima mara 4 niko sawa

najuta sana mpaka leo maana mzee aliye tuunganishia ananiona naranda randa tu huku jama wenzangu ni wanajeshi na 1 n wale wavaa suti.
 
Najuta kuikacha kazi fulani serikalini nilipomaliza 4m six, nikaona bora niende chuo kutafuna boom kwanza,

sasa nimemaliza chuo kila nikiomba ajira napigwa kibuti

Hua najiona fala nikiikumbuka ile kazi niliyokataa, ila upande mwingine namshukuru Mungu huenda kuna mabaya aliniepushia,

thanks loard kwa yote, najua fungu langu umenitunzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu hawafahamu maana halisi ya majuto,
Kujutia ni pale mtu unafanya jambo ambalo linakugharimu lakin ulikua na mbadala mwingine.
Mambo yote ambayo hauna uhamizi nayo huwez kusema unajutia mfano kuzaliwa mwafrika


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuugua magonjwa yasioambukiza,yale ya kiungo cha ogani kufeli,mfano figo n.k,kufeli masomo sometimes sio swala la kujutia kama una uwezo mdogo.na vingine vingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inawezekana kwa namna moja au mbili kuna kitu au jambo ambalo kila ukikaa huwa unajua katika maisha yako

mimi upande wangu najutia
FANI NILIYOISOMEA KWA MAANA IMESHIDWA KUNIPA AJIRA YA UHAKIKA ningekuwa labda nimesomea vitu vingine leo hii ningekuwa mbaliiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Usife moyo kuna watu tulikataa kazi na sasa hatuna ila tunamshukuru Allah...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najutia sana kufanya mchezo na masomo. Japo nimesoma na nimemaliza chuo kikuu nikiwa mdogo ki umri, na kusomea fani ninazopenda moyoni, kisha nikajiendeleza kimasomo zaidi na mpaka sasa bado najiendeleza.

Ila naamini nilikua na uwezo mkubwa zaidi ya perfomance nliofanya previously.[emoji18] [emoji53]
we ni mti mlegevu bila shaka
 
Ni k
Hakuna haja ya kujuta,
Kila binadamu ataonja mauti.

Unatakiwa kusikitika kishirawadu na kusonga mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli sote ni mavumbi na mavumbini tutarudi,lkn naumia zaidi sababu sikumuona baba kw kpnd kirefu na siku niliyomuona ni maiti tyr,daaah! Inauma,inauma sana ,najilaumu kwnn ht sikurudi nymbn kwa nguvu
 
Back
Top Bottom