Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
inawezekana kwa namna moja au mbili kuna kitu au jambo ambalo kila ukikaa huwa unajua katika maisha yako
mimi upande wangu najutia
FANI NILIYOISOMEA KWA MAANA IMESHIDWA KUNIPA AJIRA YA UHAKIKA ningekuwa labda nimesomea vitu vingine leo hii ningekuwa mbaliiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi upande wangu najutia
FANI NILIYOISOMEA KWA MAANA IMESHIDWA KUNIPA AJIRA YA UHAKIKA ningekuwa labda nimesomea vitu vingine leo hii ningekuwa mbaliiiii
Sent using Jamii Forums mobile app