NI KITU GANI HUWA UNAKIJUTIA KATIKA MAISHA YAKO ??

NI KITU GANI HUWA UNAKIJUTIA KATIKA MAISHA YAKO ??

inawezekana kwa namna moja au mbili kuna kitu au jambo ambalo kila ukikaa huwa unajua katika maisha yako

mimi upande wangu najutia
FANI NILIYOISOMEA KWA MAANA IMESHIDWA KUNIPA AJIRA YA UHAKIKA ningekuwa labda nimesomea vitu vingine leo hii ningekuwa mbaliiiii

Sent using Jamii Forums mobile app


Mimi najuta kulazimishwa kusikiliza bongo fleva.
 
Duuh inner sound inaniambia kua inajutia kufeli shule.. rafiki zangu wapo chuoni sasa wanakulamadesa mm nazagaa jf kutekenyana na madem ambao siwez kuwapata.. Natamani nami nirudi hata form 3 Maisha nayoishi hayaeleweki bora hata Yahaya wa ledijeidii
 
Najuta kukataa kurudi nyumbn kwa muda wa miaka 3 na wakt huo baba alikuwa akinihisi nirudi,lkn sikurudi,na sababu hasa ni mama yangu,baada ya miaka 3 nilikuja kumuona baba ndani ya jeneza,nashindwa kuzuia machozi kila nikikumbuka
Kunywa pepsi kwanza hapo, afu utarudi kuendeleza hayo majuto yako kwa kuleta sababu ya kukataa kurudi home kwenu kisa Mama yako mzazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najuta kukataa kurudi nyumbn kwa muda wa miaka 3 na wakt huo baba alikuwa akinihisi nirudi,lkn sikurudi,na sababu hasa ni mama yangu,baada ya miaka 3 nilikuja kumuona baba ndani ya jeneza,nashindwa kuzuia machozi kila nikikumbuka
Duuh mkuu kisasi ni cha Mungu wazazi wako walikukosea nin hasa labda???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inawezekana kwa namna moja au mbili kuna kitu au jambo ambalo kila ukikaa huwa unajua katika maisha yako

mimi upande wangu najutia
FANI NILIYOISOMEA KWA MAANA IMESHIDWA KUNIPA AJIRA YA UHAKIKA ningekuwa labda nimesomea vitu vingine leo hii ningekuwa mbaliiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikitika kutokuona ukijibu ulisomea nn???

Your weak best

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom