Ni kitu gani huwezi kulala bila kukifanya au ni kitu gani hukisahau uwapo safarini?

Ni kitu gani huwezi kulala bila kukifanya au ni kitu gani hukisahau uwapo safarini?

Tunafanana lifestyle
Mkuu mimi Mwenzako asbh Sana lazima ni roll mixer tena asbh napiga na maji mengi nyuma ya nyumba Kuna pagara nakaa. Ikifika jion natoka mishemishe lazima nipitie chimbo Kwa pusha wangu heshima kwake anajiita Msela boti harid pale nakula joints zangu mbili. Kisha nachukua KETE moja ya kuamka nayo asbuhi.. The circle begin again..
 
Mswaki mswaki mswaki na Sox

Aisee bora nisahau nauli ila sio mswaki na sox
 
Back
Top Bottom