Mie huwa nawapokeaga tu hata bila pesa, mie niko kinyume na mtani wangu miss chagga hahahahaNgoj anianze kufanya investment halafu nije tuzungumze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie huwa nawapokeaga tu hata bila pesa, mie niko kinyume na mtani wangu miss chagga hahahahaNgoj anianze kufanya investment halafu nije tuzungumze
Mweee kumbe u-mwathu?Mie huwa nawapokeaga tu hata bila pesa, mie niko kinyume na mtani wangu miss chagga hahahaha
haswaaa MWATHU original bila kuchakachuaMweee kumbe u-mwathu?
Dah saafi kabisa basi nikajua ni jina tu, ndio maana kumbe. Ok Ok, Mimi kwetu ni Usangi aiseeee. oogh ngoja tutaongea kandohaswaaa MWATHU original bila kuchakachua
namna hyo ameishakuwa mraibu(teja) wa punyeto.........................Ina maana wewe unapiga nyeto daily?
mie ni KWAKOA moja (nyika)Dah saafi kabisa basi nikajua ni jina tu, ndio maana kumbe. Ok Ok, Mimi kwetu ni Usangi aiseeee. oogh ngoja tutaongea kando
DahWe jamaa nimeamini unamsikiliza Pac,,maana humo yupo na hao watoto,japo siku hizi hawasikiki,tangu Pac afe nao wakapoteana,nasikia yule mwingine ni kinyozi,mara kadafy nae alipigwa bastora,daaah
Asubuhi saa 11 lazima nivute bangi
Jioni Yake pia saa kumi lazima nivute bangi
Jf kila baada ya nusu saa lazima niingie
kumbe nina mwenzanguKupiga punyeto
miss Natafuta unapigaje nyeto????????hata mimi
Tupac amaru shakur..Lazima nisikilize ngoma za Tupac na Bob Marley kwanza.. Bila hivyo inakua tabu kupata usingizi...
Nikiwa na safari lazima nibebe coin yangu ya shillingi kumi ikiyokua ikitumika enzi za ukoloni.
Tupac amaru shakur..Lazima nisikilize ngoma za Tupac na Bob Marley kwanza.. Bila hivyo inakua tabu kupata usingizi...
Nikiwa na safari lazima nibebe coin yangu ya shillingi kumi ikiyokua ikitumika enzi za ukoloni.
Tupac the bestMkuu sikiliza ngoma ya 2pac inaitwa Still I Rise,aisee ni kama alijitabiria vile
Hapana Sina pepo wabaya.. Nafanya kazi zangu kama kawaida Ila Bila mjani siku yangu itakuwa mbovu..lazima ni smoke mpepe kila asubuhi na huu ni mwaka wa sita.. Kuhusu kuchangia pato mkuu Usiwe na Shaka. Nachangia nchi yangu Kwa kulipa kodi hata kupitia paper white tu nikinuua rizla LAzima nikatwe kodi.. Na hivo ndivyo navosaidia nchi yanguMkuu una pepo wabaya au? Kichwani zimo kweli, na unasaidiaje pato la taifa kwa lifestyle yako hii?
Hawa watoto wajuzi hawawezi kuelewa old schoolEven me I love old school.hapa nawasikiliza THE LOX,,aisee huyu sheek loch ni noma